Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Pimbi 100%.Samia huyu huyu,duh!
 
Njaa
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama


Yaani yote hiyo ni "prefix": 😂😂😂😂😂😂
Ni mbaya ndgu yangu tena ogopaa njaa ya kichwa ikazama kwenye ubongo halafu ukawa una ubongo robo kijiko
 
Njaa

Ni mbaya ndgu yangu tena ogopaa njaa ya kichwa ikazama kwenye ubongo halafu ukawa una ubongo robo kijiko
Huo uDr wa kupewa unafikiri ndio uwezo wa kudeliver? Acha utani! Kupata PhD isiyo ya mchongo sio mchezo, mwambie hata Nchemba aende Havard kama hatakimbia!!!
 
Wale wanajeshi walio mfanyia yule dada wa buza walikosea walitakiwa kukufanyia wewe maana sehemu yako moja inataka kufanana na tabia za wanawake
 
Wewe chawa unaleta kichefuchefu kwa watu bure. Watu wenye akili wanajua samia anajitahidi sana ila urais umemkuta kwa sababu ya kstiba tu. Usitupigie kelele sisi tunategemea samia awe mzalendo kuhakikisha nchi inapata kiongozi mwingine aina ya magufuli.
 
sema tu ukweli umeamua kumkejeli mama'ko
 
Umekula majani ya wapi wewe mburula!?
 
Huyo akijitahidi labda atoe mhadhara hapo UDOM chuo cha kata
 
Samia huyuhuyu asiyejua tofauti ya evacuation na eviction? Au mwingine?
 
Upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…