Rais Samia aridhia kuuza nyumba za Magomeni Kota kwa utaratibu ya mpangaji mnunuzi, watarejesha gharama za ujenzi bila ardhi

Kwamba wasilipe Kodi ya jengo na ardhi Kisa kuuziwa? Kwani hao wa magomeni Wana u spesho gani kuzidi wa Mikoa mingine?

Kodi lazima walipe
 
Kinachonimaliza nguvu Tanzania ni ile Rais anapojigeuza kama computer ya kupanga na kufanya kila kitu. Mpaka amri ya nyumba zitumike na ziuzwe namna gani Rais anaingilia.
Kabisa hii ni mifumo ya kipuuzi,ndio maana Nchi haisogei kila kitu Rais.

Mtaani hakuna maji na barabara hadi Rais,stand na vyoo vya shule hadi Rais,ukame nk hadi Rais.

This is nonsense.
 
Watokee wasamaria wema wawafundishe hawa watu walio pata bahati hii ya kuila keki ya Taifa kwa style hii ya kipekee. Wasidanganyike wakauza hizo nyumba wajifunze kilicho tojea Urusi baada ya nchi kuwagawia wananchi wote share za mashirika ya umma yaliyo binafsishwa? Oligaki wakawalaghai wananchi wwkauza share zao kwa bei ya kutupa. Baadaye share s hizo zikawatoa wakina Abramovic wa Chelesea mnao wasikia matajiri wskubwa duniani. Tanzania hatuna Maoligaki uchwara? Definety wapo.
 
Mimi bado sijaelewa hii ya magomeni,mwenye uelewa naomba nielekezeni,Yaani serikali ilichukua viwanja vya wazawa na kujenga hizo nyumba,halafu wakawarudishia au ni vipi?
 

Hekta 1 ni sawa na ekari ngapi?
 
Hizi kota zinasemwa tu lakini hatuoni hata picha zake na location zilipo
 
Kulingana na maelezo ya ufunguzi nyumba zote zina wapangaji waliokua wamwanzo kabla hazijabomolewa na kujengwa upya. Na wapangaji hao wameruhusiwa kuanza kuzinunua taratibu. Kwaiyo ili wewe uzipate inabidi utafuta mpangaji atakayeshindwa kuzinunua.
 
Kulingana na maelezo ya ufunguzi nyumba zote zina wapangaji waliokua wamwanzo kabla hazijabomolewa na kujengwa upya. Na wapangaji hao wameruhusiwa kuanza kuzinunua taratibu. Kwaiyo ili wewe uzipate inabidi utafuta mpangaji atakayeshindwa kuzinunua.
ahsantee mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…