YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mimi nilipiga kelele mno kipindi cha Hayati Magufuli akiwepo kuwa kitengo cha Financial Unit Intelligence yaani FIU kinaonea Watanzania sana kufunga akaunti zao kwa pesa toka nje na hatua zao zitaua mabenki kwa kuhoji mtu anayeweka pesa benki pesa nyingi ajieleze katoa wapi. Nilipinga hicho kitu Magufuli akiwa hai humu JamiiForums
Rais Samia aliposhika tu madaraka akamtoa kamishina aliyekuwepo na kuweka mwingine mambo yako vizuri sana ukienda benki hata na bilioni husumbuliwi kuweka
Rais Samia asante kwa kuruhusu akaunti kibao za taasisi, kampuni na watu binasfsi tuhumiwa kuwa watakatisha pesa haramu
Mama Samia Asante sababu mipesa mingi ilitoka NGO za nje na watu binafsi kujenga mfano Misikiti,Makanisa, Shule, Vyuo,nk Sasa hivi baada ya akaunti kufunguliwa kazi inaendelea
Rais Samia aliposhika tu madaraka akamtoa kamishina aliyekuwepo na kuweka mwingine mambo yako vizuri sana ukienda benki hata na bilioni husumbuliwi kuweka
Rais Samia asante kwa kuruhusu akaunti kibao za taasisi, kampuni na watu binasfsi tuhumiwa kuwa watakatisha pesa haramu
Mama Samia Asante sababu mipesa mingi ilitoka NGO za nje na watu binafsi kujenga mfano Misikiti,Makanisa, Shule, Vyuo,nk Sasa hivi baada ya akaunti kufunguliwa kazi inaendelea