Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Halafu muhusika kalala hana habari, akiamka asubuhi anabeba makabrsha anaenda ofisini, akifika atashangaa watu wakimpa pole.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ataendaje ofisini wakati akiamka hakuna gari ya kwendea ofisini na hata dereva atakuwa hapokei simu yake. Huku walinzi wanamwambia toa kilicho chako mwenye nyumba yuko njiani?
 
Huyu mwamba sijawahi kumwelewa kabisa wakati wa uongozi wake.... Either way, huu utenguzi ni "technical" kuwafanya watu waache kujadili budget na kuhamia kwa chalamila
 
Hahahaha lakini huyu jamaa huwa anaropoka hadi yamemkuta [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Chalamila ameniuma sana, alikuwa ameanza kuchangamsha jiji.
 
dah chalamila naona mdomo umemponza amesifiwa juzi kuwa ni mlipukaji ameenda kuropoka anataka wananchi wamtukane raisi.
juzi alikuwa anawaambia ma Dc hawaelewi hatima yao nakujiona yy amemaliza.
achukue pension yake akajiajiri kama vijana wengine.
uongozi ni zamana tu
kazi iendele
 
Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.

Anateua leo, jioni anatengua.

Kesho anateua, keshokutwa anatengua!

Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??

NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Kuteua ni moja ya majukumu ya rais
Rais asipo teua mtaanza pia kulalamika

Ova
 
Batilda Salha Buriani kutoka uraiani Hadi kuwa RAS mama alichemsha. Hivyo amebuni kumpa ukuu wa mkoa cheo Cha kusiasa
 
Viongozi wengi walioteuliwa kutokea upinzani wanafanya vizuri hii inaonesha upinzani unapika viongozi vizuri mf. Juliasi mtatiro, machari hawa vijana mpaka sasa hamjasikia skendo zao japo kuna kipindi mtatiro alitaka kuiga mkumbo wa mwenda zake kwa kuchapa viboko wanafunzi watoro huku akiwa live mainstream nadhani alijirekebisha.

Wengine ni mgwira ambaye amestahafu bila doa na sasa kafulila amepewa mkoa tangu apewe mkoa hatujaskia madoido yoyote, lkn nina mashaka na huyu mlevi mwita waitara naona hana muda mrefu sana kwenye baraza


Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Chalamila hakujua kuchuja maneno. Hana wa kumlaumu isipokuwa mwenyewe.
Sidhani kama alikuwa mtendaji super kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…