Angetengua na uteuzi wa wazir wa maji ingekuwa poa zaidUTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, ametengua Uteuzi wa Richard Rwanyakaato Kiiza, aliyekuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA).
Pia, Rais amemteua Kaspar Kaspar Mmuya kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma. Kabla ya Uteuzi, Mmuya alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
View attachment 2935666
Wachagga na Wahaya wanafanana sana 😂Ndiyo maana wahaya,chagga na Arusha hawatakiwi kuongoza nchi,hawajastaarabika bado
Acha uongo weweWachagga na Wahaya wanafanana sana 😂
Wanafanana ukabila uliopitilizaAcha uongo wewe
Hakuna ukweli wowote,na hakuna namna unaweza kuthibitisha.Wanafanana ukabila uliopitiliza
Ila hizi lugha mnazotumia vijana wa siku hizi zinachanganya sana.Kiiza kadumu katika nafasi ya Commissioner Mkuu Ngorongoro miezi mitatu katunguliwa.
Kiiza kaenda NCAA na dereva wake,Secretary wake na Mlinzi wake wote kutokea TANAPA na wote wahaya wenzake.
Leo kaondolewa sijui wapambe wake wataenda wapi,wataweka wapi nyuso zao.
Kijana wa zamani,natumaini uta edit comment yakoIla hizi lugha mnazotumia vijana wa siku hizi zinachanganya sana.
Mimi nilijua katunguliwa(kapogwa risasi) na askari wa wannyama pori. Kumbe kafukizwa kazi!!