Rais Samia athibitisha uwepo wa mgonjwa mmoja wa Marburg nchini Tanzania

Rais Samia athibitisha uwepo wa mgonjwa mmoja wa Marburg nchini Tanzania

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

View: https://www.youtube.com/watch?v=TUrJvSaBNEQ
WhatsApp Image 2025-01-20 at 15.59.53_7cc8a49b.jpg

WhatsApp Image 2025-01-20 at 15.59.55_e8ba1290.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Januari, 2025.

Soma pia: Wizara ya Afya: Uchunguzi uliofanywa mpaka sasa haujathibitisha uwepo wa virusi vya ugonjwa wa Marburg katika mkoa wa Kagera




WhatsApp Image 2025-01-20 at 16.00.07_02eeb3fd.jpg

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus akizungumza kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Januari, 2025.
WhatsApp Image 2025-01-20 at 16.00.04_21eaca5b.jpg

WhatsApp Image 2025-01-20 at 16.00.02_f5a94ec0.jpg

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus Wazungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo tarehe 20 Januari, 2025.
WhatsApp Image 2025-01-20 at 16.00.14_8637223d.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari mara baada ya mazungumzo yake na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Januari, 2025.

Pia soma:
~
Wizara ya Afya: Uchunguzi uliofanywa mpaka sasa haujathibitisha uwepo wa virusi vya ugonjwa wa Marburg katika mkoa wa Kagera

~ WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg
 
Mna serikali, ugonjwa unazuka, mpo kimya mpaka WHO waje kuitangazia dunia kwamba Tanzania ina Marburg
 
Back
Top Bottom