Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Daah nchi ngumu sana hii,

Yaani wewe hutaki ambulance?


Khaaaa kaaa

KAZIIENDELEE KWA KASI NA NGIVU ZAIDI
 
Ma trillion ya beberu kwa ajili ya kupambana na covid
Amalizie kipindi chake akae bench,yatosha experience aliyopata.
Ili nani achukue Urais?


KAZIIENDELEE KWA KASI NA NGIVU ZAIDI
 
Daah nchi ngumu sana hii,

Yaani wewe hutaki ambulance?


Khaaaa kaaa

KAZIIENDELEE KWA KASI NA NGIVU ZAIDI
Inamnufaishaje mgonjwa aliyekuwepo Nanguruwe, Kazuramimba, Kibondemaji na kungineko ambako usafiri wa kufika kwake ni baiskeli na bodaboda?
Huduma ya afya msingi imekaaa vizuri? Kwangu mimi
Ambulance ni sawa kununuwa gari wakati unanyumba ya nyasi, au kuuza nyumba kununuwa gari.
 
Hizi ambulance ni mara ngapi ya ambulances zilizonunuliwa awamu ya nne? Mbona unalinganisha awamu ya tano tu? Sisi tujua hii ni awamu ya tano unaiitaje awamu ya Sita wakati hatujafanya uchaguzi mkuu?
 
Mama ana kasi ya concord, yeye hana bla...blaaa nyingi ni mwendo wa kudandaza mpira chini kama Barcelona ya kina Xavi na Iniesta hiviii..
 
Magufuli alinunua kwa fedha za ndani, nyie mnanunua hivyo vitu kwa pesa za mkopo na Tozo. Pesa za Mkopo siyo kipimo cha utendaji
Mkuu JPM alinunua kwa mkopo kama Samia anavyofanya sasa, alijua namna ya kuongea kwa jeuri mpaka mimi na wewe tukaamini ni kweli.
 

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Watu walizoea mtu wa sifa
Samia anafanya bila mbwembwe na anafanya kweli
Hii inaonesha uwezo wake wa akili na Uongozi aliojaaliwa na Mwenezi Mungu
Sio kiongozi Mpenda sifa
 
Halafu wala haringi yaani.
Umewahi sikia Messi anajisifu kufunga magoli
Ila wale wasio na kiwango wakibahatisha utasikia matambo
She was bone with irone hand
Irone Lady Samia
 
Hivi haya mafungu ya hela yanayopositiwa mitandaoni Chengele nyoka ya makengeza, rostam, kanjibai, rugeescrow, mzee ya Monduli, mzee rugumi na madoni wengine hivi hawayaoni waje wajiingize wayapige kama kawaida yao.
 
Umewahi sikia Messi anajisifu kufunga magoli
Ila wale wasio na kiwango wakibahatisha utasikia matambo
She was bone with irone hand
Irone Lady Samia
[emoji2][emoji2][emoji2] acha kujiaibsha bhana, Umeandika kitu gani hiko?
 
Ccm 2025 mpumzisheni huyu ssh..ni aibu kwa nchi..tunakopa kila siku sijui tutalipa na nini?raslimali zetu zimerudi kwa ma beberu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna mtu alinunua magari miasaba ya kubeba askari wakupiga watu
 
Kuna mtu alinunua magari miasaba ya kubeba askari wakupiga watu, hivi zile ashok ziko wapi sikuhizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…