Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mipango ya kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa wafanyabiashara wadogo ikiwemo kuwa na vitambulisho ambavyo vitakuwa na taarifa zote za mfanyabiashara.
Amesema ili waendelee kuboresha mazingira ya wamachinga Zaidi ni muhimu machinga walipe kodi kadiri wanavyokadiriwa na maofisa wa Mamlaka ya Mapato.
Pia amewaasa ya machinga kutumika na watu wenye maduka ambao huwapa bidhaa wakasambaze, hali ambayo inawafanya wenye maduka wasilipe kodi kwa kuwa maafisa wakiwapitia EFD zinakuwa hazioneshi mauzo.
Amesema ili waendelee kuboresha mazingira ya wamachinga Zaidi ni muhimu machinga walipe kodi kadiri wanavyokadiriwa na maofisa wa Mamlaka ya Mapato.
Pia amewaasa ya machinga kutumika na watu wenye maduka ambao huwapa bidhaa wakasambaze, hali ambayo inawafanya wenye maduka wasilipe kodi kwa kuwa maafisa wakiwapitia EFD zinakuwa hazioneshi mauzo.