Rais Samia, chukua tahadhari kuwa "Ukicheka na nyani utavuna mabua"

Rais huyu sio lazima afanane na mtangulizi wake anayo akili timamu na anao uzoefu wa kutosha wa uongozi.

Pole sana kwa maumivu uliyonayo.
“Yesu akawageukia, akasema, Enyi binti za Yerusalemu, msinililie mimi, bali jililieni nafsi zenu na watoto wenu.

— Luka 23:28 (Biblia Takatifu)
 
We msukule umekula?
 

Mama na wakorintho wapi na wapi jombi? Weka aya na hadithi za mtume kama hayo unayaweza.

Vinginevyo mengine haya ni kudandia treni kwa mbele tu. Wanaotaka kumkwamisha mama tokea day 1, mama anawajua. Na anajua akicheka nao atavuna mabua!

Habari ndiyo hiyo.
 

Kulikoni ndugu zetu? Nini kinawasibu kuchachawa hivi hali jahazi liko imara chini ya nahodha mama yetu?
 
Watu Wameteswa na kubambikiwa Kesi na wengine kuuwawa na wengine kutiwa vilema vya kudumu halafu anakuja Kiongozi kuongoza kwa HAKI ati ni kucheka na 'Nyani'? huu ni Upumbavu wenye kuhuzunisha.
Tena sio wakawaida bali ni wakiwango cha lami.
 
Utaweweseka na kuteseka sana kipindi hiki wewe mataga
 
Watanzania tunachojua ni kwamba tarehe 17 March 2021, Mungu aliiokoa nchi yetu kutoka kwenye makucha ya ibilisi, ziraili mtoa roho na Dracula.

Mungu mkubwa.
Allahuakbar.
BYA.
TMK.
 
Sikio la kufa
 
Ungefunguka uwataje hao nyani inawwzekana hata mama hawajui.
Nenda ufika utawakuta,

Kuna andiko humu kipindi cha kampeni mwaka 2015, Mheshimiwa Lowasa akionyesha kupinga mladi wa bagamoyo na hao nyani na nyumbu waka apa kuiangusha CCM lakini leo wamekuwa wa kwanza kuushadadia.
Ndo utajua kwa hao ni kizazi cha shetani.
 
Nilikwambia mama nafikiri umeanza kuelewa, watanzania si watu wa shari lakini ili pakae shwari lazima utumie shari kwako.
Sasa makongamano ya katiba so what
 
Safi saana mama,naamini ulifanyia kazi ushauri wangu
 
Hvi kwa akili yako hata kama ni ndogo.baba anaweza kupangiwa maisha na watoto anaowalisha?.huyu mama ameamua kuwa sehem ya hao.mtabaki kujisemelesha tuu.kwenye tozo mlisema ameingizwa mkenge na mwigulu mother akawajibu kwamba wa tz hawajakataa tozo,na tutaangalia tuliweke sawa kama lina kasoro.mpaka Leo .alafu anakuja mjinga mmoja anasema mama anafanyiwa figisu.kwamba anashindwa kumuachisha kazi igp,au waziri yeyote anayemualibia.au ndio kusema anawaogopa.kwa mm nasema hayo yote mnayoyaona ndio maamuzi yake.kama sio maamuzi yake angelikuwa ameshawafukuza watu kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…