mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hatukutishi ila ni angalizo tu.
Baada ya Samia atakuja Rais mkristo toka bara,2030-2040.
Baada ya hapo 2040-2050 ni kijana wetu Ridhwani Kikwete
Pengine unaweza kuona ni mbali sana la hasha, ni miaka 16 tu ijayo, kijana atakuwa na miaka 61 au 62
Gusa wote huyo ni untouchable kwa mustakabali wa Taifa ketu.
Baada ya Samia atakuja Rais mkristo toka bara,2030-2040.
Baada ya hapo 2040-2050 ni kijana wetu Ridhwani Kikwete
Pengine unaweza kuona ni mbali sana la hasha, ni miaka 16 tu ijayo, kijana atakuwa na miaka 61 au 62
Gusa wote huyo ni untouchable kwa mustakabali wa Taifa ketu.