Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Leo baada ya CAG Kichere kuwasilisha ripoti ya ukaguzi wa hesabu za serikali, Mh Rais alipata nafasi ya kutia neno.
Mh Rais ameona hakuna ulazima wa magari kukaguliwa hapa nchini. Ameona umuhimu ni magari kukaguliwa huko huko yanapoagizwa.
Mh Rais amesema wenzetu wapo makini kwenye kufanya ukaguzi. Wanafanya kwa kufuata taratibu stahiki na hawapo tayari kuharibu biashara yao.
Hivyo, ameshuri kuwepo na agency ya kufanya ukaguzi huko nje. Ili gari likifika hapa nchini ifike na Certificate ya ukaguzi na iruhusiwe kuingia nchini.
Ameongeza kuwa, ukaguzi hapa nchini unaleta urasimu usio na lazima na kuongeza mianya ya rushwa.
Kiukweli jambo hili ni la kupigiwa makofi. Kulikuwa na upuuzi usio na mantiki kwenye ukaguzi wa magari hapa nchini.
Kongole Mh Rais
Mh Rais ameona hakuna ulazima wa magari kukaguliwa hapa nchini. Ameona umuhimu ni magari kukaguliwa huko huko yanapoagizwa.
Mh Rais amesema wenzetu wapo makini kwenye kufanya ukaguzi. Wanafanya kwa kufuata taratibu stahiki na hawapo tayari kuharibu biashara yao.
Hivyo, ameshuri kuwepo na agency ya kufanya ukaguzi huko nje. Ili gari likifika hapa nchini ifike na Certificate ya ukaguzi na iruhusiwe kuingia nchini.
Ameongeza kuwa, ukaguzi hapa nchini unaleta urasimu usio na lazima na kuongeza mianya ya rushwa.
Kiukweli jambo hili ni la kupigiwa makofi. Kulikuwa na upuuzi usio na mantiki kwenye ukaguzi wa magari hapa nchini.
Kongole Mh Rais