Rais Samia hatamuondoa Nape kwani wakosoaji wataonekana wameshinda

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kuna jambo mmoja watu wengi hawajamuelewa Rais wetu au mfumo mzima wa CCM. Hawataki kuonekana kuwa wafanyalo linatokana na Wazo la wapinzani hata kama wazo hilo lina manufaa kwa taifa πŸ’― %.

Hivyo pamoja na Nape kufanya kosa hili kubwa sana la kimaadili ya uongozi maana kauli yake sio kwamba tuu inaweza leta machafuko lakini inadhibitisha kuwa utawala wa CCM haukuingia madarakani kwa kura za kwenye box.

Lakini hiyo ndio hulka ya watu wabinafsi na wapenda sifa, kudharau ushauri wa wengine hata kama una manufaa kwani sifa zitaenda kwingine.

Msishangae Nape kupewa majukumu mazito zaidi sio kwa vile anastahili, bali kuwakomoa nyie wengine.
 
Kuna jambo mmoja watu wengi hawajamuelewa Rais wetu au mfumo mzima wa CCM.
mu mazito zaidi sio kwa vile anastahili, bali kuwakomoa nyie wengine.
Hiyo hulka hata Chadema wanayo wanaosema Mbowe ajiuzulu amekaa sana kwenye kiti ni wengi wameshinda lakini chama hakitaki kuwasikiliza!
 
Sasa lipi jema, Kwa CCM kupuuza maneno ya wapinzani, Kwa madai uliyoyatoa kuwa watawapa sifa wapinzani??

Lakini Kwa kupuuza huko, wataleta chuki kubwa, Hadi kusababisha machafuko makubwa nchini, ambayo hata wao CCM hawawezi kuyazima??

Hiyo "scenario" nailinganisha na msemo mmoja wa kimakonde, unaosema ukigeuka huku Nchale na hata ukigeuka kule, vile vile huwezi kuepuka huo Nchale!πŸ˜…
 
Tuna bahati mbaya kuwa na rais ambaye ukifanya makosa na kuhatarisha amani ya nchi yeye anaziba masikio ilimradi urais wake unalindwa effectively na hao.
 
Chura hatupendi watanganyika. Anahusudu rasirimali zetu tu
 
Tuna bahati mbaya kuwa na rais ambaye ukifanya makosa na kuhatarisha amani ya nchi yeye anaziba masikio ilimradi urais wake unalindwa effectively na hao.
Chura kiziwi hawezi kufanya lolote juu ya Nape kwani hakusikia ushenzi wa Nape.
 
Habari Wanajamii Forums.
Kauli tata inayodharau wapiga kura na mchakato wa kupiga kura, uchaguzi na demokrasia naona una uhusiano mkubwa na matokeo ya Mitihani.

Nilitembelea Data base ya Baraza la mitihani Tanzania, nimeona matokeo ya mtihani wa kidato cha nne, matokeo ni hivyo.

Somo la elimu ya URAIA Waziri kapata A ILIYO FUNGUKA, na English pia A ILIYOFUNGUKA

Ninaomba maoni yenu nijue kama "GOLI LA MKONO, NA ....INATEGEMEA ANAYEHESABU KURA" ina uhusiano na matokeo yake ya mtihani na uwezo wake SHULENI??


Nandagala ONE ,safarini Mbekenyera-Ruangwa.
 
Sasa la kuuliza hilo.

Mtu anapata Civics F halafu unatarajia atakuwa kiongozi mzuri.

Ila Nape ni kilaza, duhπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi sijui
 
Chura kiziwi hawezi kufanya lolote juu ya Nape kwani hakusikia ushenzi wa Nape.
Wamekutana wote, Pwagu na Pwaguzi. Kila mmoja baina yao ni kilaza kuliko mwenzie.

Baina yao wanatengeneza jumuia ya vilaza, lazima walindane.

Usistaajabu Bi. Chura siku akihutubia akammwagia sifa kilaza mwenzie kuwa ana matani mazuri.
 
MODS ACHENI MAMBO ZENU,KAMA MNAOGOPA WATU SAWA, VINGINE NI UZI UNAOJITEGEMEA, MMEUNGANISHA NA UZI MWINGINE, NAOMBA RUDISHA USIMAME KWA KUJITEGEMEA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…