johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia amemsifia DC Joshua Nassari kwa utendaji mzuri wa kazi za kuwaletea wananchi maendeleo.
Rais Samia amesema Nassari alikuwa anaichavhafya sana serikali pale bungeni lakini aliposalimu amri na kujiunga CCM nikaona nimlete Mara ili aje kuyatenda yale aliyokuwa anayasema bungeni.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Rais Samia amesema Nassari alikuwa anaichavhafya sana serikali pale bungeni lakini aliposalimu amri na kujiunga CCM nikaona nimlete Mara ili aje kuyatenda yale aliyokuwa anayasema bungeni.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!