MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
"Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
Achana na huyu mpuuzi GentamycineSidhanikama siro anafanya haya bila ruhusa ya samia, FULL STOP...
Nashukuru sana umekuwa fair."Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
acha unafiki aliezuia ni mama samia sio sirro, siro mnamlaumu bure wakati amepokea kutoka juu."Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
Atachukuaje maamuzi ikiwa yeye ndio anayemtuma? Sijui kwa nini mnamtenganisha Sirro na boss wakeInashangaza amekua mzito mno kuchukua hatua kwa siro.
Kwa ile speech ya jana ya msibani aliyotoa siro alitakiwa leo asubuhi akutane na Pdf.
Kuna vitu mnashindwa kuvielewa hadi Sasa. Sirro yeye anapokea tu maagizo"Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
Uungane na nccr?!Ingekuwa in CHADEMA,huyo waziri asingeshangaa maana CHADEMA ndio tishio kwao na sio hivi vyama vingine.
All in all, wapinzani mnapaswa kuungana kwani hakuna alie salama under dictatorship.
Hata huyo Simbachaweni kushangaa ni kumzuga tu Mbatia ila wao na Sirro lao moja.Kuna vitu mnashindwa kuvielewa hadi Sasa. Sirro yeye anapokea tu maagizo
Sasa utamfukuzaje kazi Mtu unayempa maagizo?
Kuna watu ni rahisi sana kudanganywa.Hata huyo Simbachaweni kushangaa ni kumzuga tu Mbatia ila wao na Sirro lao moja.
Sema tu huipendi Yanga"Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
Dikteta Samia hana uwezo wa kuongoza nchi hii, dish limeyumba 🚮. Washauri wake ndiyo hao akina Zero!Sidhanikama siro anafanya haya bila ruhusa ya samia, FULL STOP...
Anakukaza?Akifutwa kazi we unafaidika nini we mpuuzi.
Haya ndo mambo yanafanya tunaitwa Malofa na kina Mkapa.
Sioni hata kosa la Sirro ingawa siwapendi polisi.
Miafrika ndivyo tulivyo,
Unashangilia afukuzwe kazi ili iweje mjinga wewe.
Utalipwa mshahara wake akifukuzwa.
Pumbavu sana.
Apedomia ni tatizo Sana nchi hii"Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.