Unataka aje huko ili mkamroge, au aje huko kuna nini cha hajabu? Huyu mama anataka sehemu nzuri zenye mandhari ya kuvutia na miundombinu bora ndo utamwona, unataka aje huko akakutane na maparachichi adi barabarani.Ni jambo la masikitiko Sana.
Kusalimia wapiga kura.Unataka aje huko ili mkamroge, au aje huko kuna nini cha hajabu? Huyu mama anataka sehemu nzuri zenye mandhari ya kuvutia na miundombinu bora ndo utamwona, unataka aje huko akakutane na maparachichi adi barabarani.
Nyie mtaendelea kumuangalia kwenye Tv tu hakuna namna, huyu mama ni rojo rojo mla urojo hataki shida ya kukutana na watu waliokomaa kwa kulima maparachichi.Kusalimia wapiga kura.
Maskini Sukuma gang naona umekata tamaa kabisa baada ya legacy kufukiwa 🤣🤣🤣🤣Nyie mtaendelea kumuangalia kwenye Tv tu hakuna namna, huyu mama ni rojo rojo mla urojo hataki shida ya kukutana na watu waliokomaa kwa kulima maparachichi.
Mzee sukumagang lazima aje maana anatuhitaji sana!Maskini Sukuma gang naona umekata tamaa kabisa baada ya legacy kufukiwa 🤣🤣🤣🤣
Mtapata tabu sana kama mnalipwa kwaajili ya kufuta legacy ya mtu ambaye kafanya mambo makubwa kwa taifa hili, mtapoteza muda bure itawachukueni miaka 1000.Maskini Sukuma gang naona umekata tamaa kabisa baada ya legacy kufukiwa 🤣🤣🤣🤣
Nyerere alikuwa sahihi Sana kutowapa madaraka makubwa mbwa wa kisukuma.Mtapata tabu sana kama mnalipwa kwaajili ya kufuta legacy ya mtu ambaye kafanya mambo makubwa kwa taifa hili, mtapoteza muda bure itawachukueni miaka 1000.
Nyerere alituasa tusije kurogwa kuwapa mbwa wa sukuma gang madaraka makubwa.Mzee sukumagang lazima aje maana anatuhitaji sana!
Mliharibu sana baada ya kufanya shambulizi la kimila kumtaka kummaliza JPM vijana wa usalaama hawawezi kukubali kumleta huko nyie ni watu wa hatari atatuma wawakilishi majaliwa anazijuwa mbinu zenu atakuja hukoImekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu.
Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Kwa hiyo mlitaka kumuuaMagu tulikuwa tunamwonyesha kuwa na sisi ni mwoto wa kuotea mbali
Nyerere alituasa tusije kurogwa kuwapa mbwa wa sukuma gang madaraka makubwa.
Hili kosa kamwe halitakuja kujirudia tena.
Hivi wewe unaakili kweli? Hata kama unawachukia hao sukuma unaweza kuwaita mbwa? Unaweza kukuta na wewe uko chama fulani wakati wa kampeni unaenda kwao huko hao unaowaita mbwa kuwaomba kura!Nyerere alikuwa sahihi Sana kutowapa madaraka makubwa mbwa wa kisukuma.
Hili kosa kamwe halitakuja kujirudia.Mimi najilipa, kwani wakati nanyooka na Mwendazake nani alikuwa ananilipa?
Kwa sasa kusini ni "hub" muhimu sana katika maendeleo ya nchi hii.Watu wa kusini kama kusingekua na gas nadhani viongozi wa kitaifa mngekua mnaishia kuwaona kwenye tv miaka yao yote ya uongozi. Yaani hata kwenye uchaguzi wangekua wanawaomba kura kupitia tv.
Ila kwa sasa kwa kua mna gesi basi watajitahidi kuja angalau mara 2 kwa miaka 5 muwaone.
Ila lazima pia muelewe kwamba rais ama marais wote wanapenda kwenda kanda ya ziwa kwa sababu kule ndio kuna determine urais wa nchi hii. Wakimaliza kanda ya ziwa wanaenda kasikazini. Nyie wa kusini hata rais asipokuja kuomba kura hamuwezi jubadilisha matokeo.
Niwaombe ndugu zangu wa kusini mkae mtulie, tutawaletea kiwanda cha gesi, tutachimba na ikiisha tutaondoka na hamtatufanya kitu. Mtumie hii fursa ya kiwanda cha gesi kubadilika. Shauri yenu.
Kanda nyingine ni Kanda za kimaslahi na wabinafsi. Kanda za waroho wa madaraka. Kanda za watu wenye viashiria vya ukabila.Mtu anapewa ukuu wa mkoa miaka minne anakua Bilionea wa kutupa mapaka anasema IST ni gari ya kuhonga TU demu Kwa tendo Moja la zinaa.Kuna watu wa kusini wamelitumikia Taifa hili Kwa miaka 40 lakini hawana tamaa ya KUIBIA au kukwapua Mali za umma au kutumia madaraka yao kujilimbikizia Mali.
Kawawa.
Kingunge.
Jenista mhagama.
Mahiza.
Majaliwa
Bwege.
Nape.
Mama Salma
Chiligati.
n.k.
Wamekua waadilifu sana kwenye nchi hii ya Kijamaa. Hata vijiji vyao vimeoangwa Kijamaa.
Tusiwabeze watu wa kusini. Wanafaa kuwa viongozi wa nchi hii ya Kijamaa.
Hapo mwanzo mwanzo uloyaongea yana kaukweli kwa mbali japo kwenye orodha umemsahau che nkapa!Kusini walitengwa tangu Ukoloni baada ya kukataa mkoloni asiwatawale kidhalimu. Serikali zote zilizotokea Tanzania zinafuata historia ya misimamo mikali ya watu wa kusini.
Udhalimu ni adui mkubwa wa watu wa kusini.
Wangoni ni hatari Kwa wanyonyaji.
Wamatumbi ni hatari Kwa wanyonyaji.
Wamwera hawaeleweke sawasawa.
Wamakonde ni hatari sana Kwa wezi.
Wayao ni hatari Kwa matapeli na wezi.
Hawa watu wa kusini kwanza hawana tamaa ya fedha nyingi na mali nyingi. Wanajali kile kinachowahusu TU hata kama ni kidogo ni Cha kwao. Wana ardhi kubwa yenye utajiri mara nyingi kuliko ule wa Kanda nyingine lakini walimkimbiza mkoloni asiikalie hasa Mjerumani ni umahiri wake alinyoisha mkono akaacha mashamba ya mkonge,pamba chai ,gesi, madini ya rubi na mafuta kule Rwangwa. Walifanikiwa TU kuondoka na mabaki ya mjusi mkubwa kuliko wanyama wote waliopo Karne hii.
Kanda nyingine ni Kanda za kimaslahi na wabinafsi. Kanda za waroho wa madaraka. Kanda za watu wenye viashiria vya ukabila.Mtu anapewa ukuu wa mkoa miaka minne anakua Bilionea wa kutupa mapaka anasema IST ni gari ya kuhonga TU demu Kwa tendo Moja la zinaa.Kuna watu wa kusini wamelitumikia Taifa hili Kwa miaka 40 lakini hawana tamaa ya KUIBIA au kukwapua Mali za umma au kutumia madaraka yao kujilimbikizia Mali.
Kawawa.
Kingunge.
Jenista mhagama.
Mahiza.
Majaliwa
Bwege.
Nape.
Mama Salma
Chiligati.
n.k.
Wamekua waadilifu sana kwenye nchi hii ya Kijamaa. Hata vijiji vyao vimeoangwa Kijamaa.
Tusiwabeze watu wa kusini. Wanafaa kuwa viongozi wa nchi hii ya Kijamaa.
Watu wa kusini wanaogopwa Kwa misimamo yao imara isiyotetereka.
Msimamo wa Mbunge mmoja wa kusini ni wabunge wote wa CCM Tanganyika. Msimamo wa Nape hauyumbi ndani na nje ya Chama.
Nape anafaa Kwa baadae. Ni mtu jasiri na mkweli hata kwenye utawala dhalimu anasema ukweli.
Kusini hoyeee.
Angalieni Shangazi zenu wasije wakapigwa tukabaki na Shangazi Wawili TU ,Maria na Fatma.
Tutafute Katiba mpya ili tuondokane na haya maujinga ya kupata viongozi kikanda na kikabila na kidini. Ni upumbavu mkubwa.
Tunataka tuwashindanishe watu Kwa hoja na maono chini ya Katiba Mpya inayotoa uhuru,haki,usawa, uzalendo ,utu na uadilifu .
Tunataka kuona watu waadilifu wakikalia ofisi za umma bila kunyimwa haki ya kuonyesha uwezo wao zaidi ya kubebwa na kutishana.
Kama sio katiba Bora ya Marekani Obama pamoja na uwezo wake asingekua Rais wa Taifa kubwa Duniani.
Tunataka Katiba Bora .
Tunataka tumsikie Nape Moses Nnauye Kwa hoja na ujasiri wake tuoni kama ni Chama kinambeba au yeye ndio anakibeba.
Tunataka tumsikie Mwigulu Kwa hoja sio kubebwa Bali aonyeshe uwezo wake Kwa kushindana Kwa haki na uhuru kwenye majukwaa na midahalo ya wazi ndani ya Chama na nje ya Chama.
Tunataka tumsikie Ndugai kwa hoja za kukataa mikopo mikopo na kujitegemea sio kufungwa mdomo kama farasi ili abebe Chama na watawala wasio na sifa.
Tunataka kumsikia Msomi Mahiri na Wakili Tundu Antipas Lisu Kwa hoja sio kumtisha.
Tunataka tumsikie Freeman Mbowe na maono yake Kwa Taifa hili Kwa Nini anakubali mateso Nini anakiwaza Kwa Taifa hili ,Kwa Nini anakua Mzalendo kiasi hicho je anaweza kushindana na uzalendo wa Polepole au Ndugai au Gwajima?
Tunataka tumsikie Zito Kwa hoja.
Tunataka tumsikie RC Anton mtaka Kwa hoja sio Kwa kabila lake.
Tunataka tumsikie Januari Kwa hoja zake sio kubebwa Wala kutengeneza mtandao .
Tunataka Katiba itakayomfanya Ridhiwani asikike Kwa hoja zake zenye maono mema na makubwa Kwa Taifa hili sio kubebwa Bali ajibebe ili tumshindanishe na Lema.
Tunataka tusikie hoja za Wanawake wasomi kama Maria Sarungi, Fatma Karume , Halima Mdee, ESTA Bulaya na wengine wakiwa huru ndani ya vyama vyao na nchi Kwa ujumla wakipigwa chini na wananchi kwenye kura Kwa hoja ndani na nje ya vyama vyao.
Tunataka Katiba itakayomfanya mtawala kuwa huru katika maamuzi bila kuogopa kakundi ka watu ndani ya vyama
Tunataka tumsikie Rais wetu Mama Samia akiwa huru ndani na nje ya Chama chake. Lakini akiweka mbele maslahi ya Nchi kuliko maslahi ya Chama kilichoundwa mwaka 1977. Nchi na watu waliumbwa na Mwenyezi Mungu. Kujali Chama kuliko Taifa ni dhambi kubwa sana.
Tunataka tuone katiba itakayotupatia majaji wenye sifa ndani ya nchi mpaka kwenye jumuiya ya madola. Wale Kodi yetu kihalali Kwa kutenda haki Kwa maana halisi ya ujaji na miiko yake sio Jaji wa kupangiwa hukumu na watu Kwa maslahi ya waovu.
Kweli kabisa mkuu nashukuru Kwa kunikumbusha Mzee wa ukweli na uwazi.Hapo mwanzo mwanzo uloyaongea yana kaukweli kwa mbali japo kwenye orodha umemsahau che nkapa!
Huku mwishoni naona umeamua kuunganisha uzi wako mwingine.. Hahahah
Duuuh! Eti mbwa wa kisukuma!!! AiseeNyerere alikuwa sahihi Sana kutowapa madaraka makubwa mbwa wa kisukuma.
Hili kosa kamwe halitakuja kujirudia.Mimi najilipa, kwani wakati nanyooka na Mwendazake nani alikuwa ananilipa?