Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 697
- 1,358
Siku za hivi Karibuni nimekuwa nikiwasiliana na Wasaidizi wa MH Rais hasa mawaziri,DC na Watendaji mbali mbali.
Lengo la kuwasliana nao ni kero mbali mbalimbali ambazo tunapitia kwenye Jamii zetu na wao ndio wa kuzitatua.
Lakini Jambo la kusikitisha hawapokei simu wala kujibu jumbe
Lakini muda wote wanavaa nguo za MH Rais na maneno mengi ingali "Zilondwa mbali zitendwa mbali"
Ushauri wangu Kwa MH Rais naomba awe Team maalumu ya watu wenye maadili waweze kufuatilia hawa Wasaidizi wa MH Rais
Kitendo cha kutokutatua kero za Wananchi matokeo Yake MH Rais anapata lawamu nyingi Ili Hali wap ndio kikwwzo
Mwisho: MH Rais Mama yangu Mpendwa, Wasaidizi wako wengi wanakungusha Sana kwa Wananchi
Rai yangu na Ombi langu Unda combo cha kufutulia Wasaidizi wako na Watendaji kwenye Majukumu yao ya kila siku
Alex
Lengo la kuwasliana nao ni kero mbali mbalimbali ambazo tunapitia kwenye Jamii zetu na wao ndio wa kuzitatua.
Lakini Jambo la kusikitisha hawapokei simu wala kujibu jumbe
Lakini muda wote wanavaa nguo za MH Rais na maneno mengi ingali "Zilondwa mbali zitendwa mbali"
Ushauri wangu Kwa MH Rais naomba awe Team maalumu ya watu wenye maadili waweze kufuatilia hawa Wasaidizi wa MH Rais
Kitendo cha kutokutatua kero za Wananchi matokeo Yake MH Rais anapata lawamu nyingi Ili Hali wap ndio kikwwzo
Mwisho: MH Rais Mama yangu Mpendwa, Wasaidizi wako wengi wanakungusha Sana kwa Wananchi
Rai yangu na Ombi langu Unda combo cha kufutulia Wasaidizi wako na Watendaji kwenye Majukumu yao ya kila siku
Alex