Rais Samia komesha uzembe wa askari barabarani

Rais Samia komesha uzembe wa askari barabarani

chase amante

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2018
Posts
5,599
Reaction score
2,115
Habarini ndugu,

Siku za hivi karibuni kumekua na ajali nyingi sana za barabarani, ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababishwa na uzembe wa madereva. Lakini, askari wa barabarani wamejisahau sana na kupelekea kuongezeka kwa ajali hizo.

Naomba mama samia liangalie swala hili
 
Back
Top Bottom