Rais Samia kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 10 mechi ya Simba na Al Ahly

Rais Samia kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 10 mechi ya Simba na Al Ahly

Kitambi chakufutia tachi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
1,063
Reaction score
2,566
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua magoli ambayo yatafungwa na timu kubwa na mianba ya soka la Afrika Simba SC katika michuano ambayo VILAZA,VIBONDE NA WAKIMBIZI kama ASAS hawashiriki yani SUPER LEAGUE.

Kila goli moja atalinunua kwa Tsh. Milioni 10.

CHANZO CHA HABARI SIMBA APP.
KILA LA KHERI SIMBA.
#HiiHaiwahusu
 
Anajua hawapati hata goli 1

images (2) (1) (1).jpeg
 
Baleke goli 2,Kibu mkandaji 1.
10,000,000tsh ×3=30,000,000tsh.

Nyie mbwa wa mafuriko mzigo☝️ wa Simba huo hapo.
 
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua magoli ambayo yatafungwa na timu kubwa na mianba ya soka la Afrika Simba SC katika michuano ambayo VILAZA,VIBONDE NA WAKIMBIZI kama ASAS hawashiriki yani SUPER LEAGUE.

Kila goli moja atalinunua kwa Tsh. Milioni 10.

CHANZO CHA HABARI SIMBA APP.
KILA LA KHERI SIMBA.
#HiiHaiwahusu
SAMIA mjanja anajua tu hawafiki mbali Hawa
 
Pesa zetu zinatumika vibaya... Hivi hawajui huko mitaani Kuna watoto wanaishi hawana makazi..? Kuna vituo vya yatima si heri hiyo pesa iende huko..
 
Sawa...

Mechi pia ioneshwe bure tibisiii
 
Ata angefanya kila goli bilion ni kazi bure, cha kuwasaidia angeomba marefa wetu wa kike wachezeshe.
 
Yani inajulikana kabisa function hai-converge alafu Prof anakwambia tafuta convergent limit!
Na wewe mwanalunyasi unakomaa kupata limit?

Pia hakuna michuano ya mpira wa miguu ambayo inaitwa Super League ambayo SIMBA inashiriki. Kuwa makini usije pigwa 2 bila.
 
Kuna wizara ya makazi, peleka ushauri wako huko.
Pesa zetu zinatumika vibaya... Hivi hawajui huko mitaani Kuna watoto wanaishi hawana makazi..? Kuna vituo vya yatima si heri hiyo pesa iende huko..
 
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua magoli ambayo yatafungwa na timu kubwa na mianba ya soka la Afrika Simba SC katika michuano ambayo VILAZA,VIBONDE NA WAKIMBIZI kama ASAS hawashiriki yani SUPER LEAGUE.

Kila goli moja atalinunua kwa Tsh. Milioni 10.

CHANZO CHA HABARI SIMBA APP.
KILA LA KHERI SIMBA.
#HiiHaiwahusu
Umemsahau kibonde mmoja kuna kibonde TP Mazembe ambaye mlimuimba alipocheza na Yanga. Sasa sijui huyu kibonde kafata nini huku.
Kuna timu inashiriki michuano yenu ya wateule huku klabu bingwa akitolewa mapema tu hata makundi kashindwa kuingia.
 
Back
Top Bottom