Pre GE2025 Rais Samia kutumia ziara ya kiserikali kufanya kampeni za CCM siyo sahihi hata kidogo

Pre GE2025 Rais Samia kutumia ziara ya kiserikali kufanya kampeni za CCM siyo sahihi hata kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Unavoidable Servant

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2021
Posts
1,728
Reaction score
4,545
Ccm si chama cha kufanya nao maridhiano, ni genge la wahuni.

Mama Samia siku ya 5 leo yupo Morogoro kwa ziara rasmi ya kiserikali lakini badala yake ziara hiyo inatumika kufanya kampeni chafu za CCM.

Kwa wanaofuatilia hiyo ziara tayari Hadija Kopa ameshaanza kuimba ule wimbo wao wa kuibia kura......

Ccm ni ileile mwaka huu tumejipanga hakika wataisoma.

Sasa wapinzani endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe, ccm wameshazinduwa kampeni zao za uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Jana kawaambia huko ifakara kura kwa ccm ni kuleta maendeleo. Mkipiga upande mwingine itakula kwenu. Vitisho wazi wazi.
 
Jana kawaambia huko ifakara kura kwa ccm ni kuleta maendeleo. Mkipiga upande mwingine itakula kwenu. Vitisho wazi wazi.
Namuona JPM mtupu kwenye hii kauli . Atakuwa na mwisho mbaya .
 
Hajavunja sheria, na wala hajawakataza wengine wanaojinadi na kumtukana.
 
Ccm si chama cha kufanya nao maridhiano, ni genge la wahuni.

Mama Samia siku ya 5 leo yupo Morogoro kwa ziara rasmi ya kiserikali lakini badala yake ziara hiyo inatumika kufanya kampeni chafu za CCM.

Kwa wanaofuatilia hiyo ziara tayari Hadija Kopa ameshaanza kuimba ule wimbo wao wa kuibia kura......

Ccm ni ileile mwaka huu tumejipanga hakika wataisoma.

Sasa wapinzani endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe, ccm wameshazinduwa kampeni zao za uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu wa 2025.
Hakuna ulevi mbaya kama ulevi wa madaraka
 
CCM hata chembe ya aibu hawana.
TBC hata chembe ya aibu hawana.
Msajili wa vyama hata chembe ya aibu hawana.
Tume ya uchaguzi (eti huru) hata chembe ya aibu hawana.
Kweli usingizi ni mtamu...tuendelee tu kuuchapa.
Fisi kwa kawaida hawana aibu
 
Back
Top Bottom