Rais Samia Kuwa Mikhali Gorbachev wa Tanzania?

Rais Samia Kuwa Mikhali Gorbachev wa Tanzania?

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Rais mstafu wa Urusi alipoingia madarakani mwaka 1985 aliingia na sera za Perestroika na Glasnost na hii uhuru wa kuvuka mpaka na kusababisha kuvunjika kwa muungano wa taifa la USSR.

Hapa Tanzania Rais Samia toka ameingia madarakani amejitahidi sana kuweka uhuru wa wanasiasa haswa wa vyama vya upinzani kufanya siasa bila kubudhiwa lakini sasa inaonekana uhuru huo unatishia usalama na umoja wa taifa la Tanzania.

Hivi majuzi tumeona mikutano ya Chadema lugha za kejeli na matusi dhidi ya vyombo vyetu vya usalama vikichukua sehemu kubwa ya mikutano hiyo badala ya kuwaambia wananchi watawafanyia nini pindi wakiingia madarakani. Tumesikia Mwenyekiti wa Chadema akitoa lugha za kibaguzi waziwazi katika sakata la bandari.

Tusikubali kuwaridhisha hawa wafadhili wetu kwa kuonyesha kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia wakati umoja wetu upo hatarini ni wakati muhimu kwa serikali ya Tanzania kufata njia ya utawala wa Rais Kagame katika kulinda usalama na umoja wetu.
 
Ni kweli Tanzania ni nchi ya kidemokrasia lakini pia Tanzania ni muungano wa nchi mbili kamili ya Tanganyika na Zanzibar.

Haiwezekani wazanzibari waje kututengenezea mustakabali mbaya watanganyika na tukae kimia. Muungano huu ukifa wanarudi kwao Unguja kula maisha huku watanganyika tukioata matatizo. Hilo liko wazi.

Kwani bandari zenye ufanisi mdogo ni za Tanganyika tu? Mbona Zanzibar hazipo?
 
DP World in pornographic movies enthusiasts' perspectives means double penetration world.

Huku bandari ya DSM, kule airport ya KIA, nasema tukae imara wandugu, tukae imara narudia
 
Wazenji wamewauza watanganyika simpo ende cria.

Hiyo haiitaji isemwe na mpinzani wala msisiem, inahitaji utumie akili
 
1. Rwanda sio Tanzania, kinachofaa Rwanda sio lazima kifae Tz.

2. Umoja na mahusiano ya watu huwa hayalazimishwi bali huja na hukuwa yenyewe involuntarily, huwezi kulazimisha Muungano iwapo wahusika (raia) hawataki Muungano vinginevyo huo utakuwa ni Muungano hewa kwa misingi ya kisiasa tu na sio kwa misingi ya kijamii na Muungano wa aina hiyo hautakuwa na muda.
 
Heading nzuri ila content ni utopolo

Saa 100 atukuwa Gorbachev kwa kuuza rasilimali za Tanganyika, na si vinginevyo
 
1--Rwanda sio Tanzania, kinachofaa Rwanda sio lazima kifae Tz.
2-- Umoja na mahusiano ya watu huwa halalazimishwi bali huja na hukuwa yenyewe involuntarily, huwezi kulazimisha Muungano iwapo wahusika (raia) hawataki Muungano vinginevyo huo utakuwa ni Muungano hewa kwa misingi ya kisiasa na sio kwa misingi ya kijamii na Muungano wa aina hiyo hautakuwa na muda.
Demokrasia imekuwa ni maafa makubwa kwa nchi nyingi za Afrika mfano majirani zetu Kenya uchumi unaanguka kwa mgogoro usiyoisha wa vyama vya siasa pamoja na wao kudai kuwa na katiba nzuri. Tumeona Sudan na Somalia baada ya wananchi kushangilia kuondolewa kwa utawala wa kidekteta leo mamilioni wanakufa kwa vita wenyewe kwa wenyewe.
Nimemkumbuka sana Hayati Rais Magufuli pamoja na mapungufu yake kama binadamu lakini style ya leadership yake ndio inatakiwa Tanzania
 
Heading nzuri ila content ni utopolo

Saa 100 atukuwa Gorbachev kwa kuuza rasilimali za Tanganyika, na si vinginevyo
Hapa unalinganisha tembo na chawa mwanangu. Gorbachev alikosea tu lakini alikuwa kichwa.
 
Rais mstafu wa Urusi alipoingia madarakani mwaka 1985 aliingia na sera za Perestroika na Glasnost na hii uhuru wa kuvuka mpaka na kusababisha kuvunjika kwa muungano wa taifa la USSR.
Hapa Tanzania Rais Samia toka ameingia madarakani amejitahidi sana kuweka uhuru wa wanasiasa haswa wa vyama vya upinzani kufanya siasa bila kubudhiwa lakini sasa inaonekana uhuru huo unatishia usalama na umoja wa taifa la Tanzania. Hivi majuzi tumeona mikutano ya Chadema lugha za kejeli na matusi dhidi ya vyombo vyetu vya usalama vikichukua sehemu kubwa ya mikutano hiyo badala ya kuwaambia wananchi watawafanyia nini pindi wakiingia madarakani. Tumesikia Mwenyekiti wa Chadema akitoa lugha za kibaguzi waziwazi katika sakata la bandari.
Tusikubali kuwaridhisha hawa wafadhili wetu kwa kuonyesha kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia wakati umoja wetu upo hatarini ni wakati muhimu kwa serikali ya Tanzania kufata njia ya utawala wa Rais Kagame katika kulinda usalama na umoja wetu.
una zungumziaje suala la bandari ?
 
Nimemkumbuka sana Hayati Rais Magufuli pamoja na mapungufu yake kama binadamu lakini style ya leadership yake ndio inatakiwa Tanzania


Demokrasia ni sawa na kisu, kisu kinaweza kukatia nyama, mboga, kitunguu nk lakini kisu pia kinaweza kutumiwa na jambazi kutendea uhalifu, itakuwa si jambo la busara kulaumu kisu na ukawasahau watumiaji wake ni hivyo kwenye Demokrasia, usilaumu Demokrasi ukasahau watumiaji wa demokrasi.
 
kwann iwe bandari za Tanganyika tu kwenye huo mkataba, zijumuishwe zote naza nchi ya zanzibari , muungano gani kwenye vitu hatari inatwishwa mzigo tanganyika, kwenye ulojo na zanzibari imo. Hii hakikubaliki.
 
Back
Top Bottom