Tumewasikiliza wahuni wale hawakujibu hoja ya Ndugai, Wala mama hajajibu hoja. Alichofanya ni kuongezea matusi mengine.
Washauri wa Ndugai wangemwambia akae kimya Wala asimtafute mama azungumze naye faragha.
Wahuni wengine watakuwa wanaendelea kumtenga mama na Ndugai. Hii tabia ya kusikiliza umbeya wenye lengo la uchonganishi alilianzisha mwendazake.
Mama ana jinsia ya kmba, mbaya zaidi amezungukwa na wambea wanaume wenye lengo la kutaka kuendelea kufaidi matunda ya nchi hii.
Mama namtahadharisha anashuka na gia namba 5 mlima Kitonga. Kosa hili alilifanya mtangulizi Tunaju
Tunajua Katiba yetu ni mbovu, kwahiyo kumng'oa kwenye usukani ni kumwambia aogeze spidi kwenye mteremko mkali.
Washauri wa Ndugai wangemwambia akae kimya Wala asimtafute mama azungumze naye faragha.
Wahuni wengine watakuwa wanaendelea kumtenga mama na Ndugai. Hii tabia ya kusikiliza umbeya wenye lengo la uchonganishi alilianzisha mwendazake.
Mama ana jinsia ya kmba, mbaya zaidi amezungukwa na wambea wanaume wenye lengo la kutaka kuendelea kufaidi matunda ya nchi hii.
Mama namtahadharisha anashuka na gia namba 5 mlima Kitonga. Kosa hili alilifanya mtangulizi Tunaju
Tunajua Katiba yetu ni mbovu, kwahiyo kumng'oa kwenye usukani ni kumwambia aogeze spidi kwenye mteremko mkali.