Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Heri ya Christmas Wanajamvi.
Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa.
Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika majuma kadhaa yaliopita ,kutopata coverage ya kutosha kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo Habari ya umwenyekiti wa CHADEMA.
Ushauri wangu, mteue KINGWENDU kuwa Mbunge, na BAMBO kuwa mjumbe wa bodi Mojawapo kama vile bodi ya utalii,kupitia waziri mwenye dhamana.
Baada ya uteuzi huo kwa muda Mjadala wa CHADEMA utaenda likizo na watu watajadili uteuzi wa BAMBO na KINGWENDU.
Ukilifanya hilo mheshimiwa Rais, utakuja kunishukuru.
Nimetumia BAMBO na KINGWENDU kama mfano, inawezekana pia ukawateua Ndugu wengine tofauti, kama ndugu yangu MADEBE LIDAI na na mtaani wangu Muhogo mchungu.
Ushauri sio shururuti, unaweza kukataa pia sio Lazima kuafiki.
Ni hayo tu mh Rais, Nikutakie Christmas njema.
Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa.
Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika majuma kadhaa yaliopita ,kutopata coverage ya kutosha kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo Habari ya umwenyekiti wa CHADEMA.
Ushauri wangu, mteue KINGWENDU kuwa Mbunge, na BAMBO kuwa mjumbe wa bodi Mojawapo kama vile bodi ya utalii,kupitia waziri mwenye dhamana.
Baada ya uteuzi huo kwa muda Mjadala wa CHADEMA utaenda likizo na watu watajadili uteuzi wa BAMBO na KINGWENDU.
Ukilifanya hilo mheshimiwa Rais, utakuja kunishukuru.
Nimetumia BAMBO na KINGWENDU kama mfano, inawezekana pia ukawateua Ndugu wengine tofauti, kama ndugu yangu MADEBE LIDAI na na mtaani wangu Muhogo mchungu.
Ushauri sio shururuti, unaweza kukataa pia sio Lazima kuafiki.
Ni hayo tu mh Rais, Nikutakie Christmas njema.