dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Kamanda wewe nae utachanjwa?RAIS wa JMT Mama Samia, Jumatano Julai 28,2021 saa 3 asubuhi, Ikulu ya Dar es Salaam, atazindua chanjo ya corona kwa kuanza kuchanjwa chanjo hiyo. Baada ya uzinduzi huo Wizara ya afya itaendelea na taratibu zingine za usambazaji wa chanjo hiyo.
Source
#NipasheHabari
Inaitwa Johnson & Johnson au Jansen. Kama ada, kwa hisani ya watu wa Marekani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kachanjwa chale, au mmesahau mwanae alimtoa katara?Kigwangala tayari ameshachanjwa ,, nendeni mkamuulize kama sumaku inanasa[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wasisahau kualika wabunge wa jiji zima kutuwakilisha wananchiBBC Dira ya Dunia wametangaza kwamba uzinduzi wa Chanjo za Corona nchini Tanzania utafanyika siku ya Jumatani ( 28/07/2021)
Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia
Mkuu, me sisogei kabisaaah, hata kwa hela ingawa tupo uchumi wa kat Kama wajibambikiavyo wao!Kamanda wewe nae utachanjwa?
Ukishakula vya watu hauwezi kufikiri tofauti na mawazo yao.Imefanyiwa utafiti nchini na chombo gani cha nchi yetu ili tuamini kuwa ni salama?
Hapo sasa!Hizi so ndio zimesababisha blood cloting world wide, Hadi hazitakiwi Tena?