Rais Samia, kwanini haya hayakufanyi umuone Lengai Ole Sabaya kwenye serikali yako?

Rubbish
 
Sabaya alipaswa kuwa jela
 
Kwamujibu wa katiba ya Tanzania mahakama ndio chombo pekee cha kutoa haki.
Ikiwa mahakama iliona Sabaya hana hatia ikamwachia sasa chuki yanini dhidi yake?

He is innocent man kama hutaki kwann hukukata rufaa?
 
Kwamujibu wa katiba ya Tanzania mahakama ndio chombo pekee cha kutoa haki.
Ikiwa mahakama iliona Sabaya hana hatia ikamwachia sasa chuki yanini dhidi yake?

He is innocent man kama hutaki kwann hukukata

Kwamujibu wa katiba ya Tanzania mahakama ndio chombo pekee cha kutoa haki.
Ikiwa mahakama iliona Sabaya hana hatia ikamwachia sasa chuki yanini dhidi yake?

He is innocent man kama hutaki kwann hukukata rufaa?
Uko sahihi
 
Tafuteni kazi za kufanya mkiwa madarakani mnawaona vijana wajinga wanapolalamima suala la umosefu wa ajira mkikaa pembeni kidogo tu kilio.
 

M
 

Tunawajua mnajiingiza kwa majina mengine. Wewe ni muuaji Sabaya
 
Naona kaandika yeye au mdogo wake, kwanu shughuli nyingine hamna za kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…