Rais Samia, Mimi Sifi Leo sina nauli ya kuja Dodoma siku ya Sensa ila namba yangu inapokea muamala, tuma nije kesho

Rais Samia, Mimi Sifi Leo sina nauli ya kuja Dodoma siku ya Sensa ila namba yangu inapokea muamala, tuma nije kesho

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Mh Rais nimepata ujumbe wako zaidi ya mara kumi kwa leo naomba kukujulisha yakuwa Mimi Sifi Leo Sina nauli ya kutoka kwetu Bukoba mpaka Dodoma Kwa ajili ya kujua watanzania tupo wangapi ila namba yangu ya Tigo 0717.........27 inapokea muamala tuma haraka nianze safari ya kuja kukusikiliza la sivyo Mimi usinialike Tena kabisa.

Pia Mh. Rais naomba ukituma itume na ya kutolea tigo pesa utume.

Mh waliopiga pesa ya sensa hawatoshi kuja hapo mpaka Mimi Nije maana nimejiuliza sana mbona meseji zimekuwa nyingi?

Nilipomuuliza ndugu yangu Byandeko akaniambia Mimi Sifi Leo ni mtu muhimu sana kuwepo kesho hapo nikusikilize Kwa sababu Mimi Sifi Leo nikishamaliza kukusikiliza Kwa niaba ya wahaya wenzangu nitapeleka taarifa Kwa wanachijiji

Je, sensa na majibu yake ni muhimu wa wananchi au Kwa serikali?

Mimi nahisi ni kwako na wenzako Ili muweze kupanga jinsi kusanya Kodi na kujilipa mshahara .

Mwisho hata ukituma nauli siji Bora nikalime mihogo Mwanalumango kwetu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu umepokea ujumbe huo kutoka akaunti ya jumla ya sensa ama ile binafsi ya Mh. Rais mwenyewe!?
Kumbuka kuna tofauti kubwa kati ya Rais kama mtu binafsi na ile yake ya yeye kuwa kiongozi mkuu wa taasisi nyeti ya urais ambayo anaiongoza kwa mujibu wa katiba.
 
Mh Raisi nmepata ujumbe wako zaidi ya mara kumi kkwa Leo naomba kukujulisha yakuwa Mimi Sifi Leo Sina nauli ya kutoka kwetu Bukoba mpaka Dodoma Kwa ajili ya kujua watanzania tupo wangapi ila no yangu ya Tigo 0717.........27 inapokea mwamala tuma haraka nianze safari ya kuja kukusikiliza lasivyo Mimi usinialike Tena kabisa.

Pia MHA Rais naomba ukitum itume na ya kutolea tigo pesa utume.

Mh waliopiga pesa ya sensa hawatoshi kuja hapo mpk Mimi Nije maana nimejiuliza sana mbona meseji zimekuwa nyingi?

Nilipomuuliza ndugu yangu byandeko akaniambia Mimi Sifi Leo ni mtu muhimu sana kuwepo kesho hapo nikusikilize Kwa sababu Mimi Sifi Leo nikishamaliza kukusikiliza Kwa niaba ya wahaya wenzangu ntapeleka taarifa Kwa wanachijiji

Je sensa na majibu yake ni muhimu wa wananchi au Kwa serikali?

Mimi naisi ni kwako na wenzako Ili muweze kupanga jinsi kusanya Kodi na kujilipa mshahra .

Mwisho hata ukituma nauli siji Bora nikalime miogo mwanalumango kwetu.
Iwe genda kusha mbwenu oligirota niwe mkulu.
 
Mimi Samia Suluhu Hassan ninakukaribisha kwenye uzinduzi wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 uwanja wa Jamhuri Dodoma tarehe 31 Oktoba, 2022.
 
Mh Raisi nimepata ujumbe wako zaidi ya mara kumi kwa Leo naomba kukujulisha yakuwa Mimi Sifi Leo Sina nauli ya kutoka kwetu Bukoba mpaka Dodoma Kwa ajili ya kujua watanzania tupo wangapi ila namba yangu ya Tigo 0717.........27 inapokea muamala tuma haraka nianze safari ya kuja kukusikiliza la sivyo Mimi usinialike Tena kabisa.

Pia Mh. Rais naomba ukituma itume na ya kutolea tigo pesa utume.

Mh waliopiga pesa ya sensa hawatoshi kuja hapo mpaka Mimi Nije maana nimejiuliza sana mbona meseji zimekuwa nyingi?

Nilipomuuliza ndugu yangu Byandeko akaniambia Mimi Sifi Leo ni mtu muhimu sana kuwepo kesho hapo nikusikilize Kwa sababu Mimi Sifi Leo nikishamaliza kukusikiliza Kwa niaba ya wahaya wenzangu nitapeleka taarifa Kwa wanachijiji

Je, sensa na majibu yake ni muhimu wa wananchi au Kwa serikali?

Mimi nahisi ni kwako na wenzako Ili muweze kupanga jinsi kusanya Kodi na kujilipa mshahara .

Mwisho hata ukituma nauli siji Bora nikalime mihogo Mwanalumango kwetu.
Hivi hawajatangaza mapumziko ya kitaifa ya kupokea taarifa ya sensa?
 
Mh Raisi nimepata ujumbe wako zaidi ya mara kumi kwa Leo naomba kukujulisha yakuwa Mimi Sifi Leo Sina nauli ya kutoka kwetu Bukoba mpaka Dodoma Kwa ajili ya kujua watanzania tupo wangapi ila namba yangu ya Tigo 0717.........27 inapokea muamala tuma haraka nianze safari ya kuja kukusikiliza la sivyo Mimi usinialike Tena kabisa.

Pia Mh. Rais naomba ukituma itume na ya kutolea tigo pesa utume.

Mh waliopiga pesa ya sensa hawatoshi kuja hapo mpaka Mimi Nije maana nimejiuliza sana mbona meseji zimekuwa nyingi?

Nilipomuuliza ndugu yangu Byandeko akaniambia Mimi Sifi Leo ni mtu muhimu sana kuwepo kesho hapo nikusikilize Kwa sababu Mimi Sifi Leo nikishamaliza kukusikiliza Kwa niaba ya wahaya wenzangu nitapeleka taarifa Kwa wanachijiji

Je, sensa na majibu yake ni muhimu wa wananchi au Kwa serikali?

Mimi nahisi ni kwako na wenzako Ili muweze kupanga jinsi kusanya Kodi na kujilipa mshahara .

Mwisho hata ukituma nauli siji Bora nikalime mihogo Mwanalumango kwetu.
Wewe ni muongo kama watanzania wenzako tu,Kagera Kuna Mwanalumango wapi?
 
Mimi Samia Suluhu Hassan ninakukaribisha kwenye uzinduzi wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 uwanja wa Jamhuri Dodoma tarehe 31 Oktoba, 2022.
Hapo ili uwanja ujae. Kulikuwa na haja ya kutangaza matokeo uwanjani?
 
Mh Rais nadhani utakuwa ulipata ujumbe wangu, Mimi Sifi Leo nilikutumia ujumbe wa kuomba unitumie nauli Ili niweze sogea hapo Dodoma kushuhudia ukitangaza matokeo ya Sensa.

Sikutaka kuja mwenyewe ila nilishawishika na ujumbe wa mwaliko ulio kuwa unanitumia. Mimi Sifi Leo sikuomba pesa Mingi niliomba kidogo sana,yaani kafea tu kutoka kagera mpaka Dodoma.

Nilienda mbali zaidi nikakwambia Mimi ntakuja Kwa niaba ya wenzangu tuliopo kwenye mkoa wa Kagera.

Mh Rais hukunitumia nauli kupitia TigoPesa hivi unadhani Mh Rais Ile helikopita ilifikisha ujumbe Kwa wahaya wenzangu? Hivi Mh. Rais helikopita ni aina gani ya media for news transmission?

Leo transportation mode inageuka na kuwa media mode? Mh Rais uoni kama hii uliyoitumia wewe ni ANASA?

Nimejiuliza nimekosa jibu ila nakutakia Kila kheri na uchoyo wako ila nakushauri siku nyingine. Ulitumia Helkopita hakuna haja ya kuwa live kwenye vyombo vya habari wananchi wote tutaangalia juu kuitizama Helkopita.

Mwisho Mh Rais mlima Kilimanjaro unaangamia, naomba utuanzime Helkopita tupulizie moto.
 
0115f623283badb807c180af178de55d.jpeg
 
HV Nani alileta ,na kushauri helkopta iwepo. Usanjani
 
Back
Top Bottom