Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Na mimi kazi mliyonipa nasimama na ninaifanya na mnashuhudia matusi ninayotukanwa mpuuzi, hana maana, huyu Bibi ana hivi, mambo tele lakini najigeuza chura.
Kwahiyo nyingi zinapigwa kelele wakiona haujibu sasa tulitukane litajibu ama halijibu, sijibu nageuza chura masikio sisikii kabisa, ninachotaka mageuzi ya kiuchumi ndani ya nchi hii sitaki kingine sasa kwenye mageuzi haya tutakanyaga nguru wa mshihiri, anayetaka kunikera na mimi anikanyagie uchumi wangu,"
===
Pia soma:
Kwahiyo nyingi zinapigwa kelele wakiona haujibu sasa tulitukane litajibu ama halijibu, sijibu nageuza chura masikio sisikii kabisa, ninachotaka mageuzi ya kiuchumi ndani ya nchi hii sitaki kingine sasa kwenye mageuzi haya tutakanyaga nguru wa mshihiri, anayetaka kunikera na mimi anikanyagie uchumi wangu,"
===
Pia soma:
- Chura kiziwi naye hutuoa sauti kama chura wengine tu
- Kwa Rais Samia kujifanya "Chura kiziwi" ni dharau kwa watanzania. Kwani yupo Ikulu kwa maslahi ya akina nani?