macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu mtanzania kucheza na akili yake ni rahisi sana. Si ajabu ukakuta vijana wengi kabisa wakisifia ujinga kama huu. Tatizo la vijana wa Tanzania siyo vyeo, iwe u-DC au u-RC. Kwanza hizo nafasi ni chache mno na zitachukuliwa na wapiga domo wa chama ''twawala''. Je mamilioni yaliyobaki yatafaidika? Huyu mama anaanza kuchemka mapema kweli kweli.Isitoshe hili ni dili la UVCCM tu. Nashangaa watu wamefurahi kweli kweli. UVCCM wenyewe hawa wengi pasua kichwa tu!
Apewe kabisa...Tushuhudie Wilaya DarasaIkimpendeza Rais mh. Samia amteue ndugu Malisa Godlisten ,
Kwakweli uyu Kijana ni Azina kwa Taifa, na kichwani yupo vizuri pia,
Hawa ndio viongozi wa baadae inatakiwa waingizwe mapema kwenye serikali,
Hizo siasa ni pasua kichwa kwangu ...Haya..mtu anakuwa na Kesi ya Kuingiza nchini Ngada kutoka China ,hajawahi kumiliki pasipoti ya kusafiria wala kupanda ndege...!?Hivi hawa watu waliambiwa kwamba wakiua watu ndiyo wanakuwa mashujaa wa nchi?Those kids are very stupids!
Mkuu hakuna cha mwenda wazimu wala nini nature inatake place. Kweli mwendazake ana mapungufu yake mengi ila nakuhakikishia there is no temporary solution eti kwa wanasiasa kutoa matamko. wanasiasa wawe wakweli tu sio kutoa kauli za kufurahisha watu mkuu.Hizi ni ”teuzi ajira” kwa UVMaCCM , hamna jipya hapo , leteni ajira kwa vijana , Mwendawazimu amevuruga nchi maisha ni magumu sana .
Kwani Kasesera siyo kijana !Kasesela niandalie ofis yangu vizuri
Nakuja hapo iringa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Atajua yeye mm nimepangiwa hapoKwani Kasesera siyo kijana !
Ngoja niote ukipata teuzi usini sahau Comotang Mkuu tafadhaliwewe endelea kuota, ukiamka mambo tayari
dada vipi mbona umemaindi sanaYupo vizuri kwa wajinga Kama nyie
mkuu Vilainishi vyenu bajeti ijayo vitapunguziwa Kodi,naona mmechachamaa ,ili iwe wantelezea yakheeeUna funza kichwani badala ya akili kama huyu Rais!Unaelewa maana ya long-run and sustainable employment policies?Unataka Taifa liendeshwe kwa vitimbi vya kisiasa badala ya strategy ambazo ni sustainable?
Maderva wa kilolo anzeni kunywa bia nakuja kuchukua nafasi ya yule DCanayewapiga makofi maderevaKasesela niandalie ofis yangu vizuri
Nakuja hapo iringa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa Mzee wangu Kasesera itakuwaje ?Rais amesema Leo kuwa Ma-DC wote wapya watakuwa vijana maana karibuni anataka kufanya mabadiliko makubwa na wote watakaochukua nafasi ni vijana.
Kama ni kweli hii basi Natoa pongezi kwake.
Hahahaaaaa nimecheka kwa sautiWasiwe tu Ole Sabaya style
Wakina Ole Sabaya, Bashite, Hapi n.k ndio anaowataka?Rais amesema Leo kuwa Ma-DC wote wapya watakuwa vijana maana karibuni anataka kufanya mabadiliko makubwa na wote watakaochukua nafasi ni vijana.
Kama ni kweli hii basi Natoa pongezi kwake.
Vijana gani hao kina joketi au kina Gondwe. [emoji23][emoji23][emoji23]acha graduates wapambane na hali zaoMama Samia akiwa Live mkoani Mwanza kwenye kongamano la vijana amesema tayari kuna mkeka wa MaDC na wakurugenzi wa mashirika mbali mbali ya serikali na vijana wakae mkao wakula kwani teuzi zitawahusu moja kwa moja kwa kiwango kikubwa.
====
"Vijana tunaomba mjitambue kuwa niyi vijana ndio wenye maoni ya taifa hili kwa sasa na karibu wateuliwa wote ni vijana na kuna mkeka wa maDC utakaotoka hivi karibuni. Nataka kuwaambia kuwa wote ni vijana, lakini vijana baadhi mnapopata fursa hizi mnatuangusha. Napenda kuwaambia kuwa mkipata fursa hizi mkafanye kama ilivyotarajiwa.", amesema Rais Samia
View attachment 1819491Vijana wa Mkoa wa Mwanza wakihudhuria mkutano huo kusikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Rais Samia akihutubia Wananchi waliohudhuria mkutano wake na vijana katika Uwanja wa Michezo wa Nyamagana, Mwanza.
View attachment 1819494