Rais Samia, naomba unisaidie ajira mwanao

Polesana kamamchumi unalia ivyo cjui
 
Wakati unasoma hio degree ya uchimi ulikuwa una malengo gani? Yani hio degree ulipoteza muda. Hata haijakusaidia kimaisha na duka la familia umeliua. Kwa kazi... hakuna ajira kwa degree hio. Jiandae kupiga tu zege sasa au fungua kibanda cha chipsi kuku na tumia akili sasa utoboe.
 
Ulichukua hatua gani kuzuia wezi? Umesoma uchumi na unajua umuhimu wa kufanya "protection of your investments." Au ndio vyeti feki?

Unaambiwa siku zote PROTECT YOUR INVESTMENTS. Kama hautafanya hivyo, basi mtu USILIE SIKI YAKIKUKUTA KAMA HAYA SABABU ULIFANYA CHOICES MBAYA NA NDIO ZIMEKUFIKISHA HAPO.
 
Njoo tupambane ajira portal mkuu
 
Picha
 
Mnafahamu hata capital yake ipoje? Vijana wengi business ni hand to mouth.
Point ni kwamba alikuwa na duka lililokuwa linalisha familia. That means alikuwa anagain kama alikuwa anagain basi principle ya tiba saba za pochi tupu according to the richest man in Babylon, ilitakiwa aiaplai akiwa kama msomi wa uchumi.
 
Point ni kwamba alikuwa na duka lililokuwa linalisha familia. That means alikuwa anagain kama alikuwa anagain basi principle ya tiba saba za pochi tupu according to the richest man in Babylon, ilitakiwa aiaplai akiwa kama msomi wa uchumi.
Duka niliokuwa nalo ni duka la kawaida sana la mtaani tu.
 
Ondoa shaka mkuu utapata tu
Mkuu bado hujaweka picha yako halisi tu?!?!
Msaidie kijana. Siyo lazima aweke jina na picha halisi. Ni moyo wa huruma na kusaidiana tu.[emoji120]
 
Mkuu bado hujaweka picha yako halisi tu?!?!
Msaidie kijana. Siyo lazima aweke jina na picha halisi. Ni moyo wa huruma na kusaidiana tu.[emoji120]
Mkuu picha nitaweka tu ila naona hoja yangu imepingwa sana humu
 
Mkuu Mama Samia hapatikani humu jukwaani

Ushauri wangu, nenda kaweke kambi pale geti la kuingilia Ikulu ya Dar es Salaam au Dodoma

Hakikisha hautoki pale getini hata upigwe vipi na chaguzi yako iwe ni kufa au kuonana na Mama samia

Cc:ushauri wa hovyo kutoka kwa kijana wa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…