Rais wetu Mpendwa, binafsi najiona mwenye bahati kuwa na Rais wa aina yako. Kikubwa zaidi ni kwa jinsi ulivyoubeba uhusika wa kuwa Kiongozi usiyebagua watu wako. Zaidi ya kuwa Kiongozi wa Taifa letu lakini pia Umejaaliwa SANA UTU.
Mama yetu pamoja na Majukumu mengi uliyonayo natamani japo UMUULIZE WAZIRI WA UJENZI KUHUSU BARABARA ZA MPIJI NA MAKABE. Najua utakapoulizia tu hizo barabara zitajegwa tu.
Nasema hivi kwasababu ndio hulka za watendaji wengi wa nchi yetu kwani wakisikia umeulizia ndipo nao watakapoanza kukimbizana wakiambiana "jamani Mheshimiwa Rais amehoji kuhusu hizi barabara".
MUNGU AKUBARIKA NA AKUJAALIE UPATE WASAIDIZI WENYE KUGUSWA NA MAISHA YA WATU KAMA ULIVYO WEWE
Mama yetu pamoja na Majukumu mengi uliyonayo natamani japo UMUULIZE WAZIRI WA UJENZI KUHUSU BARABARA ZA MPIJI NA MAKABE. Najua utakapoulizia tu hizo barabara zitajegwa tu.
Nasema hivi kwasababu ndio hulka za watendaji wengi wa nchi yetu kwani wakisikia umeulizia ndipo nao watakapoanza kukimbizana wakiambiana "jamani Mheshimiwa Rais amehoji kuhusu hizi barabara".
MUNGU AKUBARIKA NA AKUJAALIE UPATE WASAIDIZI WENYE KUGUSWA NA MAISHA YA WATU KAMA ULIVYO WEWE