Rais Samia ni Mtanzania, sio "Mama wa Kizanzibari"

Rais Samia ni Mtanzania, sio "Mama wa Kizanzibari"

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salamu Wakuu,

Ni aibu kubwa kwa Mwanachama wa CCM, kumuita rais wa Nchi ya Tanzania eti ni Mama wa Kizanzibari. Hii ni fedheha kwa chama na Serikali na Taifa kwa Ujumla.

Nchi yetu imejijengea heshima kwa kuheshimiana na kuwa na Usawa, sasa haya Mambo yanatoka wapi?

Wasiwasi wangu ni hawa wafuasi wa Hayati Magufuli kulazimisha Rais Samia afanye kama Magufuli. Rais Samia anafanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote, sio Wafuasi wa Magufuli tu, hata Mumlishe Maneno kwenye Magazeti kwamba hatagombea. Mnampa Ushauri na taarifa za uongo ili aonekane hafai. Mnabambikizia watu kesi ili rais alaumiwe. SAMIA Hatetereki.

Je, 2025 Rais Samia ataweza kushinda Wanachama wa CCM ambao ni Wafuasi wa Magufuli kwa hizi siasa chafu? Sababu hata sasa akiongea hawamsikilizi, Wanaamua watakalo. Wanaweza kuongeza tozo, Kumjibu Makanisani, Mitandao ya kijamii na hawafanywi kitu.

Wakati wenu ushaisha. Tumpe nafasi rais Samia afanye analoweza na mwingine aje afanye analoweza.

Nakutia moyo Rais Samia. Wasikutishe, endeleza kiporo cha katiba mpya. Wanaokutisha wanaogopa kupoteza Ugali wao ndio maana wanasema Katiba mpya haifai.

Nenda nao kwa akili hivyo hivyo.
 
Naona mnajitekenya tu na kucheka wenyewe ....
 
Ulitaka kama kunyoka hivi,
Simama ueleweke.Rais atakuelewa kuliko wanaojipendekeza
 
Hakika, amalize kiporo cha Katiba mpya

IMG_20210811_164651.jpg


IMG_20210812_123915.jpg
 
Samia ana uraia wa nchi mbili yaani ni Mzanzibar na Mtanzania
 
Hakuna anaemkwamisha Rais Samia tatizo ni yeye mwenyewe,Naona kama hajawa na dira ya kuendesha nchi akitulia atafanya vizuri.
 
Salamu Wakuu,

Ni aibu kubwa kwa Mwanachama wa CCM, kumuita rais wa Nchi ya Tanzania eti ni Mama wa Kizanzibari. Hii ni fedheha kwa chama na Serikali na Taifa kwa Ujumla.

Nchi yetu imejijemgea heshima kwa kuheshimiana na kuwa na Usawa, sasa haya Mambo yanatoka wapi?

Wasiwasi wangu ni hawa wafuasi wa Hayati Magufuli kulazimisha Rais Samia afanye kama Magufuli. Rais Samia anafanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote, sio Wafuasi wa Magufuli tu, hata Mumlishe Maneno kwenye Magazeti kwamba hatagombea. Munampa Ushauri na taarifa za uongo ili aonekane hafai. Munabambikiza watu kesi ili rais alaumiwe. SAMIA Hatetereki.

Je, 2025 Rais Samia ataweza kuahinda Wanachama wa CCM ambao ni Wafuasi wa Magufuli? Sababu hata sasa akiongea hawamsikilizi. Wanaamua watakalo. Wanaweza kuongeza tozo, Kumjibu Makanisani, Mitandao ya kijamii na hawafanywi kitu.

Wakati wenu ushaisha. Tumpe nafasi rais Samia afanye analoweza na mwingine aje afanye analoweza.

Nakutia moyo Rais Samia. Wasikutishe, endeleza kiporo cha katiba mpya. Wanaokutisha wanaogopa kupoteza Ugali wao ndio maana wanasema Katiba mpya haifai.

Nenda nao kwa akili hivyo hivyo.
Tumpe muda zaidi Madam President katika kipindi hiki anachoendelea kuufungua uchumi wa nchi kupitia tozo katika vifurushi na miamala ya simu. Sasa ni yapata mwezi mmoja na ushee toka zilipoanza kutozwa.

Ni vyema sasa Waziri wa Fedha akatuambia sasa mwezi Julai amekusanya kiasi gani cha "solidarity fund" ili tupate kutambua serikali mpaka sasa imepata kiasi gani. Na pia ije na takwimu mpya kuhusu imetumia sehemu gani ya fedha zilizopatika katika miradi na miundombinu iliyokusudiwa katika maeneo mapya itakayoyaonyesha.
 
Wanaomuita Mzanzibari au mwanamama wa Kizanzibar wapo sahihi...

Wazanzibar wana kofia mbili za utambulisho na ndio maana wana Rais...

Kwa kawaida Eais huongoza taifa, na taifa lolote lazima liundwe na watu...
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Huyo ni Mzanzibari tu hawezi kuliepuka hilo. Kule Zanzibar atawafaa zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Salamu Wakuu,

Ni aibu kubwa kwa Mwanachama wa CCM, kumuita rais wa Nchi ya Tanzania eti ni Mama wa Kizanzibari. Hii ni fedheha kwa chama na Serikali na Taifa kwa Ujumla.

Nchi yetu imejijemgea heshima kwa kuheshimiana na kuwa na Usawa, sasa haya Mambo yanatoka wapi?

Wasiwasi wangu ni hawa wafuasi wa Hayati Magufuli kulazimisha Rais Samia afanye kama Magufuli. Rais Samia anafanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote, sio Wafuasi wa Magufuli tu, hata Mumlishe Maneno kwenye Magazeti kwamba hatagombea. Munampa Ushauri na taarifa za uongo ili aonekane hafai. Munabambikiza watu kesi ili rais alaumiwe. SAMIA Hatetereki.

Je, 2025 Rais Samia ataweza kuahinda Wanachama wa CCM ambao ni Wafuasi wa Magufuli? Sababu hata sasa akiongea hawamsikilizi. Wanaamua watakalo. Wanaweza kuongeza tozo, Kumjibu Makanisani, Mitandao ya kijamii na hawafanywi kitu.

Wakati wenu ushaisha. Tumpe nafasi rais Samia afanye analoweza na mwingine aje afanye analoweza.

Nakutia moyo Rais Samia. Wasikutishe, endeleza kiporo cha katiba mpya. Wanaokutisha wanaogopa kupoteza Ugali wao ndio maana wanasema Katiba mpya haifai.

Nenda nao kwa akili hivyo hivyo.
JamiiForums2011088224.jpg
 
Salamu Wakuu,

Ni aibu kubwa kwa Mwanachama wa CCM, kumuita rais wa Nchi ya Tanzania eti ni Mama wa Kizanzibari. Hii ni fedheha kwa chama na Serikali na Taifa kwa Ujumla.

Nchi yetu imejijemgea heshima kwa kuheshimiana na kuwa na Usawa, sasa haya Mambo yanatoka wapi?

Wasiwasi wangu ni hawa wafuasi wa Hayati Magufuli kulazimisha Rais Samia afanye kama Magufuli. Rais Samia anafanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote, sio Wafuasi wa Magufuli tu, hata Mumlishe Maneno kwenye Magazeti kwamba hatagombea. Munampa Ushauri na taarifa za uongo ili aonekane hafai. Munabambikiza watu kesi ili rais alaumiwe. SAMIA Hatetereki.

Je, 2025 Rais Samia ataweza kuahinda Wanachama wa CCM ambao ni Wafuasi wa Magufuli? Sababu hata sasa akiongea hawamsikilizi. Wanaamua watakalo. Wanaweza kuongeza tozo, Kumjibu Makanisani, Mitandao ya kijamii na hawafanywi kitu.

Wakati wenu ushaisha. Tumpe nafasi rais Samia afanye analoweza na mwingine aje afanye analoweza.

Nakutia moyo Rais Samia. Wasikutishe, endeleza kiporo cha katiba mpya. Wanaokutisha wanaogopa kupoteza Ugali wao ndio maana wanasema Katiba mpya haifai.

Nenda nao kwa akili hivyo hivyo.
Mijitu kama wewe ni hasara sana kuishi, yaani wewe ni idiot na lijinga. Tunajua lengo lenu ni kutugawa wana CCM. Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan (namtunuku PhD kwa hekima zake) na yeye ni mfuasi wa Dkt Magufuli, sasa unaposema wafuasi wa Dkt Magufuli unamaanisha nini wewe pimbi?? Yaani nyie ni lile kundi la mafisadi mnatafuta huruma kwa kumuwekea mama maneno ya chuki eti wafuasi wa Dkt Magufuli, na ndiyo mmekuja na slogan ya eti SUKUMA GANG as if kuna wasukuma walikuwa karibu na Dkt Magufuli. Msichokijua Dkt Magufuli hakuwahi kufanya upendeleo wa wasukuma ingekuwa hivyo waziri mkuu angechagua msukuma. Kilichokuwa kinatokea ni kugoma vetting, mfano wachaga wengi vetting zilikuwa zinagoma kwa sababu ya ukakasi wao wa kutukana kuiba etc, ila ikija makabila mengine it was ok. Sasa mkome kabisa kupandikiza chuki pimbi wakubwa
 
Kuna mahali popote Rais Magufuli alimsema SSH kuwa sio makamu wake bali ni mama wa ki Zanzibar?

Acheni kumgombanisha mama kwa maslahi yenu. Rais JPM hukuwahi kuwa mnafki, yeye alimkubali SSH kuwa makamu wake mara ya kwanza na akamchagua tena mara ya pili.

Rais SSH aliwahi kutoa unabii bila kujua, alimshukuru JPM kwa kumnyoosha na kumwambia anaweza kwa sasa yeye JPM anaweza kupumzika ili yeye amsaidie kuwanyoosha wengine

Acheni unafki wenu wa kimaslahi binafsi kwenye mambo yahusuyo maslahi ya taifa




Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli 🕊🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan😍🙏
 
Wanachokifanya wana CCM ni muendelezo wa dhambi ya ubaguzi walioiasisi awamu ya JPM.

Mliwabagua wapinzani, sasa mmehamia kwa SSH kuwa sio Mtanganyika. Mkimtoa madarakani mtaanzisha ubaguzi mwingine....
 
Back
Top Bottom