Rais Samia ni Mtanzania, sio "Mama wa Kizanzibari"

Ni Mzanzibari tena Muunguja, kwani kuna uongo hapo?
 
Si tulimwambia avunje bunge ,akakataa, ccm ya mwendazake ilipoona wapinzani tunaanza kumpa ushirikiano, wakatafuta KILA namna kuvuluga na wakafanikiwa, na Sasa Ndo wamefanikiwa zaidi KWA kutubambikia UGAIDI, yupo, anashauriwa anakubali,niseme mambo KWA Sasa ya serikali ya sita ni magumu , anaokaa nao kuwaona watu wake si ajabu wakimpa kisogo wapiga Salam kubwa ya Corona ile ya mguu KWA mguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…