Rais Samia, Rais wa Zanzibar, IGP na Mzee Boazi watakubali kufika mahakamani kutoa ushahidi au Jaji atakataa wasiletwe Mahakamani?

Rais Samia, Rais wa Zanzibar, IGP na Mzee Boazi watakubali kufika mahakamani kutoa ushahidi au Jaji atakataa wasiletwe Mahakamani?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Kwa Hali ya ushahidi ulivyotolewa na Jamhuri watu wafuatao wataitwa na upande wa utetezi kwenda kutoa ushahidi. Lengo la kuwaita watu hao nikutaka kuionyesha Dunia uhusika wao au mtizamo wa juu ya kile kinachoendelea mahakamani. Mashahidi hao ni Hawa wafuatao

1. Mhe. Rais wa JMT, huyu upo uwezekano wa kuitwa kutoa ufafanuzi kuhusu kauli aliyoitoa wakati anahojiwa BBC akidai watuhumiwa wengine wanatumikia kifungo. Mtakumbuka Kibatala na Malya wamekuwa wakiuliza Sana maswali kuhusu eneo hili. Endapo watamtaka Mhe. Rais kufika mahakamani Mahakama itakuwa na nguvu ya kumwita? Mzee Mkapa amewahi kuitwa mahakamani wakati wa kesi ya Costa mahalu na alitii akatoa ushahidi wake. Awamu tutegemee Mhe. Rais aliyepo madarakani kutinga mahakamani? Je, akiitwa mahakamani akasimama upande wa Jamhuri mahakama itajitenga VIPI na kauli zinazoendelea kwamba inaelekezwa na serikali namna yakutenda KAZI na kutoa maamuzi? Let us discuss

2. Mhe. Rais wa Zanzibar alitajwa kumtumia pesa mmoja wa watuhumiwa kipindi hicho akiwa Wazuri wa Ulinzi, alipotajwa tu mahakama kupitia Jaji ikapiga marufuku kutajwa majina ya viongozi wa serikali maana ya Rais. Sasa hivi tunaingia kwenye utetezi ambapo naamini mtuhumiwa lazima ataeleza kwenye utetezi wake endapo alikuwa na mahusiano na Rais wa Zanzibar na kama Fedha alizotumiwa zilihusiana na kesi hii au tuhuma zinazowakabili. Je mtuhumiwa akieleza kwenye ushahidi wake kuhusu Fedha hizo Mhe. Jaji atamkataza kuelezea au kutoa ushahidi Kwa sababu unamgusa Mhe. Rais? Sheria inasemaje? Je, utetezi wakimwita Mhe. Rais wa Zanzibar kujadili mahakamani kama alituma au hakutuma Fedha mahakama itatekeleza takwa la utetezi? We need to focus kwenye eneo Ili kwa sababu nalo linaimpact Kwa Mahakama, Jamhuri na Kimataifa pia hasa litakapokuja swali la motive behind utumaji wa hizo Fedha. Critical thinkers from both sides should predict the remedies

3. IGP Simon Siro amewahi kunukulia akithibitisha wahusika kutenda Ugaidi kabla ya maamuzi ya Mahakama. Lakini pia aliandikiwa barua na Mbowe kuhusu tishio la usalama na nadhani hizo barua zinaweza kufika mahakamani na may be alijibu. Akiitwa mahakamani kama mkuu wa Jeshi la Polisi na Kwa kuangalia aina ya maswali walioulizwa watendaji wake haiwezi kutokea baadhi ya maswali yakakosa professional answers na hivyo kushusha credibility ya ofisi yake pamoja na completence yake? Mahakama itatoa summons? Narudisha mjadala kwenu walinzi wa nchi mtusaidie kuliangalia vyema eneo hili. Mkumbuke upande wa watuhumiwa sidhani kama wanataka sana kuonyesha ushahidi Bali wanataka kuonyesha namna serikali na vyombo vyake vinavyokwama, so kwao wao wanajua hukumu ilishatolewa hivyo hata ashuke malaika haiwezi kubadilika kwa kujitetea, wanachofanya wanapiga angle ambazo zinashusha hadhi na kuaminika Kwa taasisi huku wakionyesha wananchi ugumu wa kupata haki nchini. You need to think broadly how are you going to control what to be asked and what not to be asked kizimbani.

4. Mzee Boaz yeye alishiriki kupokea taarifa na akaelekeza jalada la kesi lifunguliwe kabla hata watuhumiwa awajakamatwa na akaelekeza na makosa waliyotenda kabla awajahojiwa. Lakini huyu Mzee amestaafu, je yupo tayari kufedheeshwa Kwa maswali ya hawa vijana? Kuna umuhimu wa mstaafu huyu kufika mbele ya Mahakama? Nani atadhibiti atahojiwa Nini? Tutafakari wote.

Mwisho; endapo mahama itapokea majina ya watajwa hasa wa kwanza na wapili itawezaje kupinga wasifike mahakamani wakati jukumu la mahakama nikupokea ushahidi?

Nimewasilisha haya maswali nikizingatia Moyo kichaka na watuhumiwa wanajua kabisa mahakama haiwaoni kama watu wasio na hatia so wasiposema Kila kitu watafungwa na wasiposema watafungwa pia so naamini wanaweza kusema mambo yasiyomithilika. Compare and contrast
 
Hakuna kitu kama hiyo mkuu.
Kwani umesahau ya Mkapa..?? R.i.P
Ebu muacheni JK apumzike.
 
Kwa Hali ya ushahidi ulivyotolewa na Jamhuri watu wafuatao wataitwa na upande wa utetezi kwenda kutoa ushahidi. Lengo la kuwaita watu hao nikutaka kuionyesha Dunia uhusika wao au mtizamo wa juu ya kile kinachoendelea mahakamani. Mashahidi hao ni Hawa wafuatao...
Hii Kesi inejidhihirisha bila mashaka yoyote kuwa imekaa kisiasa.

Hivi inawezekanaje baada ya "madongo" yote yale ya mawakili wa upande wa utetezi, wakiongozwa na wakiki msomi Kibatala, kuwapiga wale mashahidi wa "michongo" wa Jamhuri, hadi kuwafanya wengine walazwe hospitalini kwa mshtuko, ionekane kina Mbowe wana Kesi ya kujibu??

Bila Katiba mpya, hii Hali itaendelea milele, kwani kwa TZ yetu, Rais anafananishwa na Mungu, analolisema lolote linaonekana kuwa la kweli!

Ili mradi tu Rais Samia alitamka kwenye "interview" yake na Kikeke wa BBC kuwa washirika wenzake Mbowe, walishafungwa na Mbowe alikimbilia Nairobi kukwepa Kesi, kwa hiyo mihimili yote iliyo chini yake ni LAZIMA ifanye Kazi bila kum-prove wrong Boss wao!

Let's wait and see, time will tell...................

Hata hivyo ninaamini kuwa Mungu husimamia Haki.

Pamoja na vitimbwi vyote hivi, mwisho wa siku Mbowe ataachiwa huru, kwa kuwa MBOWE SIYO GAIDI. Full Stop
 
Hii Kesi inejidhihirisha bila mashaka yoyote kuwa imekaa kisiasa.

Hivi inawezekanaje baada ya "madongo" yote yale ya mawakili wa upande wa utetezi, wakiongozwa na wakiki msomi Kibatala, kuwapiga wale mashahidi wa "michongo" wa Jamhuri, hadi kuwafanya wengine walazwe hospitalini kwa mshtuko, ionekane kina Mbowe wana Kesi ya kujibu?...
Kwa kweli kwa Majibu yale ya mashahidi wa serikali.. Mfano Urio na Swilla, sikutegemea kama kesi hii ingeendelea...

Huko mbeleni huenda serikali ikadhalilika zaidi..

Ngoja tusubiri...
 
[emoji871]Mambo ya msingi sio maswali ya ubabaishaji wa mashahidi uliofanywa na mawakili.

[emoji871]Ni uthibitisho wa nia ovu ya kutenda kosa.

[emoji871]Unapoingia makubaliano ya kisiri siri na makomandoo.

[emoji871]Tena waliofukuzwa kazi jeshini kwa utovu wa nidhamu.

[emoji871]Kitendo cha kuthibitika muamala wa kuwatumia pesa toka kwa mtuhumiwa wa kwanza Mbowe.
Ili kufanikisha safari yao kufika kwa muajiri wao mpya.


[emoji871]Na kitendo cha wao kukutwa na silaha ambayo haikusajiliwa kihalali.Wakiwa tayari Moshi ambapo ni nyumbani kwa aliyewaita.

[emoji871]Ndio maana wamemuondoa Mbowe kwenye shitaka la sita la Uniform za jeshi.
Maana ni za yule aliekutwa nazo binafsi.na haieleweki ni kwa nini aliendelea kuwa na vifaa vya jeshi hata baada ya ajira yake kukoma.Na kisha kusafiri navyo hadi moshi.

[emoji871]Lakini hawajamtoa kwenye shitaka la silaha ya moto.maana ile ndiyo imebeba uzito wa kesi.

[emoji871]Yale maswali maswali ya kiwababaisha kina Swila,sio main issue...bali ile uthibisho wa nia ovu.

[emoji871]Chadema wanayo haki ya kuomba ulinzi binafsi na wakaruhusiwa kuajiri.

[emoji871]Lakini ilipaswa kutoka kwenye kampuni halali ya ulinzi na iliyosajiliwa kisheria.kisha ile kampuni ndio itapaswa kuwapata walinzi imara kiwango cha kina Adamoo au zaidi.

[emoji871]Na kuwapa majukumu kihalali kumlinda mheshimiwa Mbowe kihalali.

[emoji871]Sawa na wale askari waliokuwa wameajiriwa na mahakama ya mauaji ya kimbari ya Rwanda.
Pale AICC Arusha.
 
[emoji871]Mambo ya msingi sio maswali ya ubabaishaji wa mashahidi uliofanywa na mawakili.

[emoji871]Ni uthibitisho wa nia ovu ya kutenda kosa.

[emoji871]Unapoingia makubaliano ya kisiri siri na makomandoo.

[emoji871]Tena waliofukuzwa kazi jeshini kwa utovu wa nidhamu.

[emoji871]Kitendo cha kuthibitika muamala wa kuwatumia pesa toka kwa mtuhumiwa wa kwanza Mbowe.
Ili kufanikisha safari yao kufika kwa muajiri wao mpya.


[emoji871]Na kitendo cha wao kukutwa na silaha ambayo haikusajiliwa kihalali.Wakiwa tayari Moshi ambapo ni nyumbani kwa aliyewaita.

[emoji871]Ndio maana wamemuondoa Mbowe kwenye shitaka la sita la Uniform za jeshi.
Maana ni za yule aliekutwa nazo binafsi.na haieleweki ni kwa nini aliendelea kuwa na vifaa vya jeshi hata baada ya ajira yake kukoma.Na kisha kusafiri navyo hadi moshi.

[emoji871]Lakini hawajamtoa kwenye shitaka la silaha ya moto.maana ile ndiyo imebeba uzito wa kesi.

[emoji871]Yale maswali maswali ya kiwababaisha kina Swila,sio main issue...bali ile uthibisho wa nia ovu.

[emoji871]Chadema wanayo haki ya kuomba ulinzi binafsi na wakaruhusiwa kuajiri.

[emoji871]Lakini ilipaswa kutoka kwenye kampuni halali ya ulinzi na iliyosajiliwa kisheria.kisha ile kampuni ndio itapaswa kuwapata walinzi imara kiwango cha kina Adamoo au zaidi.

[emoji871]Na kuwapa majukumu kihalali kumlinda mheshimiwa Mbowe kihalali.

[emoji871]Sawa na wale askari waliokuwa wameajiriwa na mahakama ya mauaji ya kimbari ya Rwanda.
Pale AICC Arusha.
Nonsense
 
Tusiishi kwa assumption. We will cross the bridge when we get there.
Hakuna uhakika wa hao mashahidi uliowataja kama kweli ndio mashahidi wenyewe.
Tuvute subira tarehe ya kesi itapofika tutajadili. Tukianza sasa ni Ifs tu.If so and so wakiwa mashahidi what will happen and so on.
 
Kwa Hali ya ushahidi ulivyotolewa na Jamhuri watu wafuatao wataitwa na upande wa utetezi kwenda kutoa ushahidi. Lengo la kuwaita watu hao nikutaka kuionyesha Dunia uhusika wao au mtizamo wa juu ya kile kinachoendelea mahakamani. Mashahidi hao ni Hawa wafuatao

1. Mhe. Rais wa JMT, huyu upo uwezekano wa kuitwa kutoa ufafanuzi kuhusu kauli aliyoitoa wakati anahojiwa BBC akidai watuhumiwa wengine wanatumikia kifungo. Mtakumbuka Kibatala na Malya wamekuwa wakiuliza Sana maswali kuhusu eneo hili. Endapo watamtaka Mhe. Rais kufika mahakamani Mahakama itakuwa na nguvu ya kumwita? Mzee Mkapa amewahi kuitwa mahakamani wakati wa kesi ya Costa mahalu na alitii akatoa ushahidi wake. Awamu tutegemee Mhe. Rais aliyepo madarakani kutinga mahakamani? Je, akiitwa mahakamani akasimama upande wa Jamhuri mahakama itajitenga VIPI na kauli zinazoendelea kwamba inaelekezwa na serikali namna yakutenda KAZI na kutoa maamuzi? Let us discuss

2. Mhe. Rais wa Zanzibar alitajwa kumtumia pesa mmoja wa watuhumiwa kipindi hicho akiwa Wazuri wa Ulinzi, alipotajwa tu mahakama kupitia Jaji ikapiga marufuku kutajwa majina ya viongozi wa serikali maana ya Rais. Sasa hivi tunaingia kwenye utetezi ambapo naamini mtuhumiwa lazima ataeleza kwenye utetezi wake endapo alikuwa na mahusiano na Rais wa Zanzibar na kama Fedha alizotumiwa zilihusiana na kesi hii au tuhuma zinazowakabili. Je mtuhumiwa akieleza kwenye ushahidi wake kuhusu Fedha hizo Mhe. Jaji atamkataza kuelezea au kutoa ushahidi Kwa sababu unamgusa Mhe. Rais? Sheria inasemaje? Je, utetezi wakimwita Mhe. Rais wa Zanzibar kujadili mahakamani kama alituma au hakutuma Fedha mahakama itatekeleza takwa la utetezi? We need to focus kwenye eneo Ili kwa sababu nalo linaimpact Kwa Mahakama, Jamhuri na Kimataifa pia hasa litakapokuja swali la motive behind utumaji wa hizo Fedha. Critical thinkers from both sides should predict the remedies

3. IGP Simon Siro amewahi kunukulia akithibitisha wahusika kutenda Ugaidi kabla ya maamuzi ya Mahakama. Lakini pia aliandikiwa barua na Mbowe kuhusu tishio la usalama na nadhani hizo barua zinaweza kufika mahakamani na may be alijibu. Akiitwa mahakamani kama mkuu wa Jeshi la Polisi na Kwa kuangalia aina ya maswali walioulizwa watendaji wake haiwezi kutokea baadhi ya maswali yakakosa professional answers na hivyo kushusha credibility ya ofisi yake pamoja na completence yake? Mahakama itatoa summons? Narudisha mjadala kwenu walinzi wa nchi mtusaidie kuliangalia vyema eneo hili. Mkumbuke upande wa watuhumiwa sidhani kama wanataka sana kuonyesha ushahidi Bali wanataka kuonyesha namna serikali na vyombo vyake vinavyokwama, so kwao wao wanajua hukumu ilishatolewa hivyo hata ashuke malaika haiwezi kubadilika kwa kujitetea, wanachofanya wanapiga angle ambazo zinashusha hadhi na kuaminika Kwa taasisi huku wakionyesha wananchi ugumu wa kupata haki nchini. You need to think broadly how are you going to control what to be asked and what not to be asked kizimbani.

4. Mzee Boaz yeye alishiriki kupokea taarifa na akaelekeza jalada la kesi lifunguliwe kabla hata watuhumiwa awajakamatwa na akaelekeza na makosa waliyotenda kabla awajahojiwa. Lakini huyu Mzee amestaafu, je yupo tayari kufedheeshwa Kwa maswali ya hawa vijana? Kuna umuhimu wa mstaafu huyu kufika mbele ya Mahakama? Nani atadhibiti atahojiwa Nini? Tutafakari wote.

Mwisho; endapo mahama itapokea majina ya watajwa hasa wa kwanza na wapili itawezaje kupinga wasifike mahakamani wakati jukumu la mahakama nikupokea ushahidi?

Nimewasilisha haya maswali nikizingatia Moyo kichaka na watuhumiwa wanajua kabisa mahakama haiwaoni kama watu wasio na hatia so wasiposema Kila kitu watafungwa na wasiposema watafungwa pia so naamini wanaweza kusema mambo yasiyomithilika. Compare and contrast
Kwa Ung'eng'e (kama unaumanya) watasema YOU ARE BEATING ABOUT THE BUSH. If IGP said mbowe should fear God, or Samia said things should be left to the Court, kwa nini ushahidi ulio wazi huugusi? Wale wamama wa shepukubwa wa BAWACHA wanaovaa hereni za dhahabu mguuni, Website ya CHADEMA, Kamati Kuu ya CHADEMA, BAVICHA, blogs za Maria Sarungi na Jenerali Ulimwengu, wote hao wanasema/zimesema loud and clear: MBOWE SIYO GAIDI. Si wangeitwa hawa kwanza wako categorical wathibitishe kabla ya kuamua kama Ali Hussein ni yule Rais au yule mchuuzi wa tende Kariakoo au yule nwalimu wa shule ya Chumbageni? The Court will be overwhelmed, the Judge will stop this practice which is called POSTURING.
 
Samia hawezi kwenda in person atawakilishwa na yule ambaye ukiishtaki serikali anahusika.
Yale mahojiano yalikuwa yake na mdomo uliotamka ulikuwa wake binafsi sio wa serikali, aje!
Anyway, ni haki ya washtakiwa kumuita yeyote wanapojitetea kama wanaona hilo litawasaidia kuweka ukweli. Lakini jee watakuja hata kama mahakama itawaita?
Ndio maana tulimwambia Samia, ondoa hii kesi ita backfire hakutaka kusikia
 
Back
Top Bottom