Rais Samia rejesha hadhi ya Ukuu wa Wilaya

Sasa Mbona umemsifia Kikwete. Wakati tayari mambo yalishaharibika.
Niwie radhi mkuu, kama umeguswa na Uzi huu, sikumlenga MTU Bali ni ushauri kwa maslahi mapana ya nchi na hatma ya uongozi wa Tanzania.
 
Niwie radhi mkuu, kama umeguswa na Uzi huu, sikumlenga MTU Bali ni ushauri kwa maslahi mapana ya nchi na hatma ya uongozi wa Tanzania.
Wala hujanilenga. Shida umezunguka..! Ungesema Fulani bin Fulani aliharibu au la.
 
Cheo cha DC kinatakiwa kifutwe kibaki cha DAS
 
Tunataka cheo cha DC kifutwe kibaki cha DAS
 
Hoja inahitaji maboresho. DC ni mtawala, yaani adminsitrator. Kazi ya utawala inahusisha stadi zifuatazo:
  • planning
  • organising,
  • motivating,
  • communicating,
  • monitoring,
  • evaluating,
  • controlling
  • etc
Stadi hizi hupatikana lini, wapi na kwa vipi?

Ualimu wa somo, ualimu wa darasa, ualimu wa bweni, uhariri wa chumba cha habari, ukuu wa idara, udaktari, uparoko, uaskofu, uanandoa, hutoa stadi hizi kwa wahusika.

Kwa hiyo, sio sahihi kuinua uanandoa dhidi ya uzoefu baki.

Pili, kuna wajane, wagane, mahanithi, watalikiwa, na watu kama hao, wenye sifa za kuwa watawala.

Kwa hiyo, ndoa sio kigezo huru kwa ajili ya kuteua watawala.

Hizi ndio sababu sheria zetu hazilazimishi watu kufunga ndoa.

kwa hiyo, siungi mkono hoja.

Nadhani hoja hii inaanzia katika itikadi ya genitalism.
 
Wako wapi waheshimiwa hawa?

MHE. CAPT. S.A. MPEMBNWE

MHE. S. SIWALE

MHE. COL.L. MAKUNENGE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…