Pre GE2025 Rais Samia: Sera yetu CCM siyo maandamano, kupigana au kusukumana

Pre GE2025 Rais Samia: Sera yetu CCM siyo maandamano, kupigana au kusukumana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
peramiho.jpg

Rais Samia akizungumza na wananchi wa Peramiho amesema kuwa Sera ya CCM ni wananchi waishi maisha ya amani na kuwe na utulivu wa kisiasa wananchi waweze kufanya mambo yao kwa raha kabisa, hayo mambo mengine waachie wenyewe.

Nendeni mkachague wagombea wa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili tuweze kupanga safu ya kuvuka vizuri kwenye uchaguzi wa 2025 tuweze kuiendeleza Tanzania yetu.

Nitoe wito tuendelee kudumisha amani ,utulivu na usalama katika maeneo yetu. Leo kungekuwa na vurugu huko, wingi wa umati ulio hapa usingekuwepo. Kila mtu angekuwa katafuta sehemu ya kubana ili asitoke kwa kukimbia vurugu, kwa sababu ya amani leo mmekuja kumuona kiongozi wenu kwa wingi namna hii.
 
Rais Samia akizungumza na wananchi wa Perahimo amesema kuwa Sera ya CCM ni wananchi waishi maisha ya amani na kuwe na utulivu wa kisiasa wananchi waweze kufanya mambo yao kwa raha kabisa, hayo mambo mengine waachie wenyewe.

Nendeni mkachague wagombea wa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili tuweze kupanga safu ya kuvuka vizuri kwenye uchaguzi wa 2025 tuweze kuiendeleza Tanzania yetu.

Nitoe wito tuendelee kudumisha amani ,utulivu na usalama katika maeneo yetu. Leo kungekuwa na vurugu huko, wingi wa umati ulio hapa usingekuwepo. Kila mtu angekuwa katafuta sehemu ya kubana ili asitoke kwa kukimbia vurugu, kwa sababu ya amani leo mmekuja kumuona kiongozi wenu kwa wingi namna hii.
Sera yenu ni kuiba kura na kutumia jeshi kuzima sauti za wanaoonewa
 

Rais Samia akizungumza na wananchi wa Peramiho amesema kuwa Sera ya CCM ni wananchi waishi maisha ya amani na kuwe na utulivu wa kisiasa wananchi waweze kufanya mambo yao kwa raha kabisa, hayo mambo mengine waachie wenyewe.

Nendeni mkachague wagombea wa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili tuweze kupanga safu ya kuvuka vizuri kwenye uchaguzi wa 2025 tuweze kuiendeleza Tanzania yetu.

Nitoe wito tuendelee kudumisha amani ,utulivu na usalama katika maeneo yetu. Leo kungekuwa na vurugu huko, wingi wa umati ulio hapa usingekuwepo. Kila mtu angekuwa katafuta sehemu ya kubana ili asitoke kwa kukimbia vurugu, kwa sababu ya amani leo mmekuja kumuona kiongozi wenu kwa wingi namna hii.

Mmmmmhhhh mbona wanaandamana mara nyingi tuuu hata walimu kuchangia fomu waliandamana au mie kuna kitu nimesahau.
 
Back
Top Bottom