Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Je, tunamshauri Rais mpya aendelee na miradi yote aliyoanzisha JPM au aendeleze ile miradi yenye tija kwa Taifa na pia aanzishe miradi ya ndoto zake?
Hapa Kuna miradi yakitaifa na miradi ya maono binafsi ya JPM. Miradi yakitaifa ni mradi wa umeme wa rufiji, mradi wa reli, bomba la mafuta, ujenzi miundombinu ikiwemo umeme na kuboresha utoaji huduma.
Miradi ambayo haikuwa na sura ya kitaifa Ni ile iliyofanyika chako ikiwemo hifadhi,uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, mahoteli na ofisi za umma nk
Katika miradi yote hii lazima kwa kauli moja Rais aseme Tanzania ina uwezo mdogo kiuchumi na kwamba nasimama na miradi ya kitaifa na endapo chenchi itabaki ntaangali chato. Asipofanya hivyo akasema anaendeleza kila alichoanzisha mzee JPM tutakwama.
Tumshauri Rais vyema.
Hapa Kuna miradi yakitaifa na miradi ya maono binafsi ya JPM. Miradi yakitaifa ni mradi wa umeme wa rufiji, mradi wa reli, bomba la mafuta, ujenzi miundombinu ikiwemo umeme na kuboresha utoaji huduma.
Miradi ambayo haikuwa na sura ya kitaifa Ni ile iliyofanyika chako ikiwemo hifadhi,uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, mahoteli na ofisi za umma nk
Katika miradi yote hii lazima kwa kauli moja Rais aseme Tanzania ina uwezo mdogo kiuchumi na kwamba nasimama na miradi ya kitaifa na endapo chenchi itabaki ntaangali chato. Asipofanya hivyo akasema anaendeleza kila alichoanzisha mzee JPM tutakwama.
Tumshauri Rais vyema.