Huyu huyu aliyetokana na ule uchaguzi wa Mwendazake?Kumbuka huyo ni Raisi wa Watanzania wote
Ametokana na Ile Katiba pendwa ya mwaka 1977Huyu huyu aliyetokana na ule uchaguzi wa Mwendazake?
Kwa taarifa tu uzinduzi una umuhimu wake. Mfano kama umefatilia kauli,maelezo na hotuba za Mhe. Rais, Prof. Janabi.Prof. Mahalu, Dr. Gwajima na wataalamu wengine wa JKCI utakuwa umeelewa umuhimu wa tukio hili. Nimeguswa sana na maelezo mafupi ya mwenyekiti wa bodi ya JKCI Prof. Mahalu juu ya ndoto zake. Nawapongeza JKCI kwa kazi, maelezo na hotuba nzuri.Huu mtambo ilitosha tu kufanya ziara na kusepa zake sio haya mambo ya sherehe sijui kuzindua aaahhh
Fungua code mkuu.Usinikumbushe awamu ya pili na ya nne mkuu.
HayaKwa taarifa tu uzinduzi una umuhimu wake. Mfano kama umefatilia kauli,maelezo na hotuba za Mhe. Rais, Prof. Janabi.Prof. Mahalu, Dr. Gwajima na wataalamu wengine wa JKCI utakuwa umeelewa umuhimu wa tukio hili. Nimeguswa sana na maelezo mafupi ya mwenyekiti wa bodi ya JKCI Prof. Mahalu juu ya ndoto zake. Nawapongeza JKCI kwa kazi, maelezo na hotuba nzuri.
Mnapenda uchochezi mbwa nyieUzuri mama keshapata chanjo salama ya moderna kwahiyo hata akiwa kwenye mikusanyiko sisi hatuhofii chochote
Ikusaidie nn?Thamani ya mashine(mtambo)?
Lafudh ya kizanzibar imemuathir mkuu wazenj wengi Hilo neno kulitamka n mtihaniKwanini Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan kutamka vizuri neno Kuongeza linamshinda na badala yake hutamka ( husema ) Kuengeza mara kwa mara tu?
Tunajua kuwa CCM imetuchukuaa Utumwa kwahiyo bora huyu Msikivu kuliko lile jinamiziHuyu huyu aliyetokana na ule uchaguzi wa Mwendazake?
Pia ni nafasi yake ya kubuni miradi mipya kwa awamu yake( awamu ya sita ) asilale na kuamka akizindua miradi iliyokuwepo au iliyoanzishwa awamu ya Tano tu.
Binafsi huwa napenda akiwa anatamka.Lafudh ya kizanzibar imemuathir mkuu wazenj wengi Hilo neno kulitamka n mtihani
"Ushanfaham"
Fanya mpango kachumbie kule mwembekiuno au mchambawima utapata binti swaafi ukijumlisha na lafudh ya Hilo neno Huna haja ya kupaka kasongo mundende kitu nyavuniiiBinafsi huwa napenda akiwa anatamka.
Usiwe mtumwa wa fedha au financial mercenary yaani kila jambo unalithaminisha kifedha tu. Thaminisha na mambo mengine kama kuokoa maisha, kurahisisha matibabu, kuongeza ajira, ujuzi na maarifa, kupunguza umaskini, utegemezi wa nje, kuitangaza nchi n.k.Ah! Mtambo bilion 4 nao tunazindua eti... B4 kwa serikali ni sio kitu cha kukiletea mbwembwe tena rais bora hata angezindua waziri au pm
Hizi zilizosemwa hapa ni mpya au zile ambazo muda wake wa maombi ushapita?Mama Samia atoe ajira 40,000 alizoahidi mei mosi. Vijana huku wana hali mbaya sana. Tumesomesha kwa gharama kubwa halafu wadogo zetu wanaendesha bodaboda!!!!
Ilianza wakati wa JKUfaransa yaipa Tanzania mkopo wa Tsh. Bilioni 361.7 kuzalisha umeme wa jua.....mradi wake huo.