Rais Samia Suluhu azindua mtambo wa kisasa taasisi ya moyo Jakaya Kikwete. Asema Kazi ilifanyika Awamu ya Tano

Kuna kitu bado hakiingii akilini. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete inasifika sana au inasifiwa sana na Serikali kuwa inao madaktari bingwa na vifaa vya kisasa.

Sasa ikawaje basi Magufuli akafa kwa tatizo la "moyo" tena akiwa hospitali ya Mzena?

Kwanini Magufuli alipopata matatizo ya moyo hakupelekwa hapa kwenye Taasisi hii ya Moyo Jakaya Kikwete yenye madaktari bingwa na vifaa vya kisasa??
 
Kuna tofauti ya Corona na ugonjwa wa moyo!
 
Usiwe mtumwa wa fedha au financial mercenary yaani kila jambo unalithaminisha kifedha tu. Thaminisha na mambo mengine kama kuokoa maisha, kurahisisha matibabu, kuongeza ajira, ujuzi na maarifa,kupunguza umaskini,utegemezi wa nje,kuitangaza nchi n.k.
Haya
 
Kwanini Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan kutamka vizuri neno Kuongeza linamshinda na badala yake hutamka ( husema ) Kuengeza mara kwa mara tu?
Kinamama wa kiunguja na kipemba hawawezi kusema kuongeza ni sawa na zile R na L zilivyomtesa JPM.
 
Nadhani Itakuwa ni ile 2,726 ( TAMISEMI ) + 455 ( AFYA ) siyo mpya.
Bado jumla haiko sawa, hapo jumla ni 3181.

Hizi zilizotajwa leo zipo 3337 zaweza kuwa mpya
 

Waungwana wanajua kuchagua maneno kwa hekima. Sifa huwapa wenzao. Ila wale wengine sasa - "yaani wameniachia kila kitu hewa; nchi ilikuwa imechezewa sana; yaani hata mwenda wazimu hawezi kusaini mkataba huu!"

Hiiiiii bagosha!

Ama kweli akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Kwhyo wew unataka useme mtangulizi wake hajaacha kibubu kinono?
JK aliiacha nchi inanuka rushwa hazina hamna, sasa ulitaka uungwana kusema yasiyo kuwepo?
Overall jamaa hakuwa politician, alikuwa kiongozi na hakuwa mnafiki kama Akina Nchemba, Gambo. Mhongo, hakusita kusema ukweli penye ukweli
Eti uungwana, Nyie ndio mmekaliwa vchwani hadi Leo na mkoloni,
Siasa zenu za kutafta kujipendekeza kumsifia kiongozi ni zaidi ya umalaya,
Samia hawezi kubeza kazi ya boss wake ili hali inaonekana kwa Umma, asbiri afanye yake
 
Kwhyo wew unataka useme mtangulizi wake hajaacha kibubu kinono?
JK aliiacha nchi inanuka rushwa hazina hamna, sasa ulitaka uungwana kusema yasiyo kuwepo...
Sukuma Genge na lahaja za kiswahili wapi na wapi?

Kajifunzeni kiswahili mjue japo communication skills!
 
Mmeanza kusema ukweli? Wakati Mwendazake anazindua miradi iliyoanzishwa na JK mlimpamba yeye binafsi mkiamaanisha kaianzisha yeye! Hata alipoazindua iliyowahi kuzinduliwa na Mtangulizi wake bado mlipisha shangwe za sifa. Leo mmeachiwa toka kifungo cha fikra mnatueleza mapya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…