barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Manara anaenda kuwa mkurugenzi mawasiliano ikuluNafasi ya Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu ipo wazi. Kuna mtu atateuliwa kuziba pengo.
Hapo tu uliposema jamaa humkubali lakini unayakubali maamuzi ya SSH umemaliza kila kitu mkuu.SSH zao la CCM
SSH zao la JPM
Niliumizwa na uwepo wake, kwa sasa kwangu sherehe tu.
Huyu mama aangalie kuwafanyia masihara na kuwalelea Hawa majambazi wa sukuma gang , mwisho wake atalilea hata kundi la wasiojulikana badala ya kulivunja na kuwachukulia hatua .Watu wanazunguka tu walewale wanabadilishana tu vyeo na wizara.
Roho ya kimasikini sana hii..Mungu akiepushe nayo mkuu la sivyonutaiahi ma vinyongo sana kwa watu ambao hata hawakujuiNiliumizwa na uwepo wake, kwa sasa kwangu sherehe tu.
Ikitokea,Simba watalia sana.Manara anaenda kuwa mkurugenzi mawasiliano ikulu
Akitoka itakuwa poa sana maana hajielewi huyu jamaa arudishwe afya yule comedian wa afya akalime.Mama tangu arudi mjini jana amekuwa busy na makatibu wakuu, jumanne atatupatia muelekeo wa Ndugulile bila shaka
Ana PhD ya mambo ya Natural resources yule bwana mdogoAngalizo
Pale TPDC aliyewekwa ana ujuzi upi? isiwe mambo binafsi yamemtoa aliyepo maana banahitajika wanaoweza ku-negotiate mambo ya gesi kwa maslahi ya nchi! Dr Matarajio kafanya lipi baya?
Huyu mama aangalia kuwafanyia masihara na kuwalelea Hawa majambazi wa sukuma gang , mwisho wake atalilea hata kundi la wasiojulikana badala ya kulivunja na kuwachukulia hatua .
Kabila lile la laskazini mna matatizo sana aisee..
Kigogo sasa hivi taarifa hazivuji tena
😂😂😂hajui lolote,taarifa hazivuji tena saiv.yy akomae tu na ya kale.Kigogo ameiona hii?
Pale atakuja mzanzibaraIkitokea,Simba watalia sana.
Hapo tu uliposema jamaa humkubali lakini unayakubali maamuzi ya SSH umemaliza kila kitu mkuu.
Makonda akatambike,ana kesi ya kuvamia clouds na kundi LA vibakaakitoka hapo kwa wakuu wa mikoa na wilaya, jiandaeni na Makonda kupewa mkoa.
Mbona mchagga mmoja tu!?Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali.
View attachment 1743522
View attachment 1743523
View attachment 1743524
Nakwambia hivi kama jamaa anakukera katafute ANTI-KUKERA DRUGS, anaenda pewa kitengo..Makonda akatambike,ana kesi ya kuvamia clouds na kundi LA vibaka
Wako wengi tu huko chini....Mbona mchagga mmoja tu!?