Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Naona twitter critics wakigogo wamemcharukia kigogo kwa mtazamo wage juu ya teuzi hizi
 
JPM atabaki kuwa mwamba aliyejenga viongozi imara akiwemo rais SSH na VP
Usinipangie eti kwamba simkubali
Na Kama hilo linakuuma kajinyonge
JPM anaingiaje ss hapa? Ww umesema humkubali jamaa ukimaanisha doto ila unakubali maamuzi ya SSH.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…