Kusaya aliwahi Kuwa DSO Handeni, akarudishwa Makao Makuu PSU, then akawa Kwenye Kamati Iliyoratibu kufuatilia zao la mkonge Tanga, badae akawa KM kilimo Ila Huyu Mkerewe Ana Roho Mbaya Sana [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]Naona mabadiliko madawa pale , james kaji kaondolewa.
Ni mjanja sana jinsi anavyondika.Kigogo ni boya tu....natembea na upepo.
Niamini......ukiwa mfuatiliaji sana wa jambo au mambo fulani....ukajipa muda wa kutosha kufuatilia mambo....you can predict na ikawa...
Maptofesa kama Mchembe wanatia doa taaluma zao.Magufuli alikuwa anamsikiliza sana Mchembe. Hata idea ya kupima mapapai Coronavirus ni Mchembe ndo aliitoa. Mchembe ndo alisababisha hadi Magufuli akadharau Corona. Mchembe alimwambia Magufuli Coronavirus ni mafua makali tu. Si hatari.
Mnaumiza vichwa ku-justify kuwa maigwa kashuka cheo...bado anapiga mpunga mzuri tu na par diem atazikusanya kama kawaida..Katibu Mkuu Ikulu na Katibu Mkuu wizara nani senior kimamlaka? Ukipata jibu basi elewa kwamba boss wa Mkurugenzi MAELEZO ni KM Wizara ya Habari while Msemaji wa Ikulu bosi wake ni KM Ikulu.
Kweli kabsa. Hakumtaja Mpango coz hakutegemea kabisa. Kamtaja mpaka Dau.Ni mjanja sana jinsi anavyondika.
Tukirudi kabla mama hajateua VP. Jamaa alitaja majina kibao nyakati tofauti...
Tangu lini Kigogo aliwataja watu Kwa nafasi watakazoteuliwa ikawa?.... Ukiona umetajwa na nafasi husika ujue hiyo nafasi hutaipataWatu wamekuwa hawamsomi vizuri.
Alisema Lawrence Mafuru na Nehemiah Mchechu watateuliwa...Ameangukia pua!!
Naona sasa hivi ana hasira na mama! Majina yote toka VP amekuwa amekosea!!
Nani sasa wakulaumiwa mpaka kutuletea huyo Kigogo?Kigogo anaharibu taifa. Ubaya zaidi watu wengi wanamsikiliza bila hata kutumia akili zao.
Alichukua nafasi hiyo mtasema tena ni mafasi ndogo sana anaenda soma magazeti...Tumngoje mr Polepole kuchukua nafasi hiyo?
Naona umefufuka baada ya kunyooshwa eehNenda kamuinamie Mhede umpunguze machungu.
Sisi tumeshakula kichwa.
Heeee!!!kutoka kuwa msemaji wa rais, na kuwa msemaji wa serikali hiyo ni promotion?!!au mimi ndio sielewi?!ofisi yako kuwa ikulu ya nchi hadi idara ya habari maelezo ni kupanda cheo?sio kweli!!!!!Msigwa kapandishwa cheo. Hongera!
Hapana kabaki kuwa katibu mkuu wizara ya habar,utamaduni,sanaa na michezo ila usemaji wa serikali ndiyo kapewa mzigoDr. Hassan Abbas kaliwa kichwa?
Mtasubiri sana tulijua tu, CCM ya leo siyo mliyozoea. Mmemsema sana MEKO lakini reforms zote ni zake akishirikiana kwa karibu na mama yetu a.ka iron lady.Tanzania mpya wajameni mtasubiri sanaStyle ya awamu hii ya 6. Ninampa mwaka hatakuwa amepoteza umaarufu!!