Nzuri kiongozi ,Tumpe Support ya kutosha mama yetu SamiaMkuu Makupa heshima yako.
maajabu gani mkuu?Doto James amefanya ya maajabu huko alikuwa hakupashwa kuwepo kwenye utumishi wa Umma labda umemfichia aibu ya mtoto wa dada. Hii haikubaliki, hapa umechemsha sana.
Mmeanza fujo! Uteuzi hautegemei dini! Dini si kigezo! Wala hskuna sababu ya kubalance, Cha maana uwezo!Hahahah kawaweka waislam wengi kiasi
Ajielewi huyo. Idara ya Habari ipo chini ya Dr. Abas. Maana Msigwa kwa sasa anaripoti kwa Dr. Abas. Wakati alivyokuwa Ikulu alikuwa akifanya kazi na Katibu Mkuu Kiongozi pamoja na Rais.Heeee!!!kutoka kuwa msemaji wa rais, na kuwa msemaji wa serikali hiyo ni promotion?!!au mimi ndio sielewi?!ofisi yako kuwa ikulu ya nchi hadi idara ya habari maelezo ni kupanda cheo?sio kweli!!!!!
Aisee. RC wa Pwani hafai hata ungemtia chumvi.Kuna ma RC na Ma DC wa hovyo sana Mbeya, Arusha, Iringa, Kilimanjaro, Hai na Pwani. Piga kalamu hao
Mchembe ni genius, hadi leo dunia inatembelea nyota yake. Alivyomshauri hayati ndiyo ukweli. Uingereza na umakini wake wamefikia hatua ya kusema NO MORE LOCK DOWN, LET US LIVE WITH IT.JPM kalala lakini falsafa yake na maono yake hakunaga. Mnajaribu kumchafua lakini ni swala la muda JPM ataishi daimaMaptofesa kama Mchembe wanatia doa taaluma zao.
Ni aibu kwa nchi kuwa na mtu kama yeye
Mpuuzi huyu!! Kwani kiongozi skies dini yako wewe unapata Nini? Na asipokuwa dini yako unakosa Nini?Kuna tatizo kwani? Em teseme amechagua waislamu watupu wewe kama wewe utafaidika nini???
Ticha langu la Kemia advance KSSHongera Caspar Caspar Muya : hongera Sana! Elizabeth Mbilinyi hongera! Mumeo matawi ya juu Sasa!
Kila wizara ina Msemaji wake ila Msemaji mkuu anabaki mmoja la sivo itakuwa vurugu mechi kama kila mmoja atatoka ajisemee!? Wacha utani mzee kama vitu hujui kaa kimya!Msemaji Mkuu wa Ikulu anatakiwa kuwa mtu mkubwa sana. Kwa bahati mbaya kwa nyumbani anakuwa mtu wa kusaini Press releases tu. Cheo cha Msemaji Mkuu wa Serikali hata sikielewi maana inatakiwa kila wizara iwe na msemaji wake...
Kwenye suala la Corona Magufuli is a hero!! Uingereza hawataki kukiri kuwa wanamuiga lakini wanapita kwenye nyayo zake !Mchembe ni genius, hadi leo dunia inatembelea nyota yake. Alivyomshauri hayati ndiyo ukweli. Uingereza na umakini wake wamefikia hatua ya kusema NO MORE LOCK DOWN, LET US LIVE WITH IT.JPM kalala lakini falsafa yake na maono yake hakunaga. Mnajaribu kumchafua lakini ni swala la muda JPM ataishi daima
Shida yako sijui una fail wapi, corona ilikuwa na protocol yake bahati mbaya mmejawa na chuki.Msemaji wa serikali asingeweza sema, maana msemaji alikuwa waziri mkuu.Mna fail sana nyie vijana wa leo.Kiukweli Bado upande wangu Siamini kama Msemaji wa Ikulu Ofisi MOJA tu Anaweza kuwa Mkubwa kimamlaka na kimaslahi Kumzidi MSEMAJI MKUU WA SELIKALI.. ninavyojua Mimi Msemaji wa Ikulu Hawezi kwenda kuongea Issue yoyote inayohusu wizara yoyote au Tukio lolote la Kitaifa Yeye Atasubiri issue ya Ikulu tu...
"...zamani nilikuwa nadhani mtu akiwahi kuleta uzi jf analipwa...." JF member,
Wote hao baba na mama Ni maticha wa kemia. Japo wote walishaachana na uticha!!!Ticha langu la Kemia advance KSS
Wewe ulitegemea wana mtandao wawepo kwenye uteuzi.Mama kachora mstari kwa wanotaka urais, mkivuka tu, mnalooooo.Tunahitaji maendeleo mnaleta siasa, jinga kabisaNikweli haya ni mambo ya kijinga sana, tutabaki hapa hapa tu.......imekuwa sifa ya panga pangua......sitegemei jipya sana, yataendelea yaleyale tu
Mhede kaharibu biashara +++Nenda kamuinamie Mhede umpunguze machungu.
Sisi tumeshakula kichwa.
Acha udini we kunguniWakristo watupu! Samia ni takataka nyingine.
Kujisogeza kote huko mama bado hajamwona!! Nadhani amemshtukia maana si kwa kujikomba huko! Au tuseme chapa ya ng'ombe wote ni ng'ombe waliokatwa mikia?
Huyu wa kishindo Cha awamu ya tano aka kusifu na kuabudu.Jumanne tunakula kichwa cha mkurugenzi wa TBC
Nzuri kiongozi ,Tumpe Support ya kutosha mama yetu Samia