Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Mie naona arudishe tu watu wale wale kama vipi kila mtu achukue chake basi maisha yaendelee...
Naona anarudisha wale watu waliotengemeza mianya ya kupiga madili...
Acheni wivu nyie mbona wakati wa magufuli nae aliweka wapiga dili wake kama huyo kakoko?
 
Wakuu wa mikoa pia wasubiri kidogo

Kuna watu wawili mama asifanye makosa ya kuwateua: Yule RC wa Mbeya aliyesema alizungumza na mwendazake kumbe aliisha kufa!!
DC wa Hai ambae alikuwa anawalazimisha watu kumuhonga fedha kwa kutumia silaha!! Toka lini DC kazi yake imekuwa kukusanya kodi?

Mwendazake alivumilia udhalimu wa huyu bwana ; akiachwa wananchi wengi watasonononeka kwani alikuwa anajisifia kuwa yeye alikuwa na direct line kwa mwendazake, ndio maana alikuwa anamdharau hata RC wake!!

Kwenye nafasi za UDC wakina mama wamefanya vizuri sana ukiwafananisha na wanaume hivyo mama wape nafasi kina mama wakufanyie kazi hawawezi kukuangusha.
 
TPDC Tanzania Petroleum Development Corporation inafanya kazi na makampuni makubwa ya kimataifa ya Norway, France, Qatar, USA , UK , The Netherlands n.k yanayojihusisha utafiti wa gesi na mafuta, uchimbaji, uuzaji pia usambazaji.

Ni uzi mzuri kutaka kufahamu mapito ya CEO wa TPDC aliyeteuliwa kuona kama anatosha katika nafasi hiyo iliyo ktk sekta nyeti.

Sitaki kuamini ni huyu, inaweza kuwa kuna mwengine mwenye majina yanayofanana

Alichoongea Thobias Mwesiga Richard baada ya kuukosa Uwenyekiti UVCCM


11 Dec 2017
Baada ya uchaguzi wa Umoja wa Vijana UVCCM kumalizika, aliekuwa Mgombea wa nafasi ya uwenyekiti wa UVCCM Taifa Thobias Mwesiga Richard amekutana na Waandishi wa Habari Dodoma na kuzungumza anayohitaji yafanyiwe kazi.

.................................................................

Publications:

www.researchgate.net › publication
Mwesiga Thobias, Mikova Kseniia. Mtwara Gas Project ...
14 Apr 2020 — 74 Mwesiga Thobias and Mikova Kseniia: Mtwara Gas ... Africa is a vast, diverse and exotic continent rich in ... [11, 12] oil and diamonds in Angola [13, 14], rubber


November 19, 2010
 
Kapelekwa viwanda na biashara, pole
Hiyo inaitwa "Kimbiza mwizi kimya kimya" hapo ni kama mnataka mkimkamata mnamchoma moto [emoji91][emoji91] kabisa.
Wezi wengi wakiona hali hiyo huwa wanakimbilia polisi wenyewe!
 
Sitaki kuamini kama huyu ndo mbadala wa Mataragio pale TPDC
 
 
Kubadilika yatabadilika kweli, tegemea mfumo wa haki kuhujumiwa zaidi maana ndiko tunakoelekea!

“Unanijua mie ni nani?”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…