Ahsante Madame President, bado huyo mtenguliwa wa wizara akabidhiwe TAKUKURU
Mchembe na Makubi kwaheri. Ila naona kama Doto kaponea vile
Exposure hakuna, kazi Tanzania hajafanya ktk sekta ya mafuta wala kusoma angalau level moja nje ya nchi au kufanya kazi muda mfupi nje ya nchi.
Si ndio nafasi yake tokea zamani au huwa husomi?Dkt Abbas kawa katibu Mkuu kwenye wizara ya michezo!!
Tanzania kuna fitna na majungu Sana. Yaani unatengenezewa kashfa mpaka watu wanaamini ni kweli. Kumbe chuki binafsi tu. Mimi nilishafanyiwa fitna, nikatengenezewa chuki ambayo ilisababisha Mimi kupoteza mali yangu yote. Mpaka SASA imeathiri hali yangu ya uchumi na maisha.Kweli kabisa. Yaani Kigogo anawajengea watu chuki kiasi kwamba kuna mtu hata si mtumishi,si mfanya biashara yaani anamchukia Dotto kanakwamba alimkamata akiiba hizo hela. Tuache haya mambo.
Unaweza kumchukia mtu kwa sababu za mtu mwingine ambaye wewe hujui yeye anamchukia mtu huyo kwanini.
Pia,kwanini watu wanampangia Rais watu wa kuteua?
Yaani nchi hii imefika mahali pa ajabu sana.
AWAMU YANGU MTANYOOKA. KUMBUKENI HII ID YANGU. NITAWAKUMBUSHA.
Wabunge wenyewe wakina msukuma unategemea nini??Hawa Wakurugenzi wa Mashirika ya umma inabidi waanxe kuomba kazi na kufanyiwa usaili.Au majina yawe yanapendekezwa na Bunge.
Exactly my thoughts. Labda hii ni kuonesha kwamba hawajali tena kuhusu kuzalisha na kuuza hiyo gesi. Labda tumeridhika na matumizi ya sasa.Exposure hakuna, kazi Tanzania hajafanya ktk sekta ya mafuta wala kusoma angalau level moja nje ya nchi au kufanya kazi muda mfupi nje ya nchi.
Hivi kweli huyu anaweza kukabiliana na wakurugenzi au wajumbe wa bodi za makampuni makubwa ya mabeberu wa Marekani ya Kaskazini, Ulaya, Russia na Arabuni na kuweza kutengeneza dili za kuifaidisha Tanzania au hata kumpa ushauri waziri au Rais wa Tanzania ushauri muafaka!
Hata kanisa la Anglican liliona umuhimu wa Askofu wake mkuu kuwa na uzoefu wa ma-dili. https://www.nairaland.com/4450245/justin-welby-nigerias-oil-archbishop
www.ft.com › content
Justin Welby: Oilman with a new calling | Financial Times
9 Nov 2012 — Here was a biblical scholar who had spent the first 11 years of his career in the oil industry: an archbishop for the
Watakaokuelewa ni wachache.Umeongea jambo la muhimu sana ndugu yanguNajua ni mahitaji ya lazima ya sasa ila naona kama NCHI, tunatumia muda mwingi kuteua, kuapisha na kujadili nyazifa za wanasiasa na watendaji wa serikali. Haya mambo ukiyatafakari sana utagundua hayatuongezei tija kihivyo na yanatupotezea muda na kutuingiza gharama nyingi zisizo na maana sana.
Ila huo ni mtazamo wangu tu.
Hivi Dr Nzuki katibumkuu wa wizara ya mali asili na utalii yupoMchembe Out. Ila Mama Samia naona alichukia sana Mchembe kuficha kifo cha Magufuli. Doto nae kaponea chupuchupu.
[emoji38]Wabunge wenyewe wakina msukuma unategemea nini??
Kama alivyo Mama nyumbani anapenda toto jinga ila naanza kupata wasiwasi na Mama Khaaayaaani uchumi wa mafuta na gesi unamuweka kada tena kinda kbs hana uzoefu labda iwe ni chochoro ya kupitisha deal za wakubwaSitaki kuamini kama huyu ndo mbadala wa Mataragio pale TPDC