Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Nyie binadamu mnaoomba CV za watu hivi huwa mnaenda kuzifanyia nini?
CV ya mtu kuitazama inakusaidia nini katika maisha yako?
Nafikiri mpaka muda utakuwa umeshapata jibu kwanini tuliomba CV ya yule mteule asiekuwa na sifa
 
Willium Erio pangemfaa TRA kama haendi na ile team yake ya PPF.Ni mchapa kazi na anajua kurekebisha mifumo ya taasisi za umma.
 
Naona halufu ya wahaya kushika hizi teuzi.
 
Si mpaka ushahidi uwepo??
Au nyinyi mna ushahidi tayari?
Kama uchunguzi unaendelea mnataka ahukumiwe kabla ya ushahidi kukamilika?
Well said,pia ni vema apishe pale ili uchunguzi uwe huru zaidi
 
Ukiambiwa uweke ushahidi hapa ni Jambazi utaweza au utaleta link za twitter!!
Pumbafu. Jambazi ni jambazi tu. Majambazi wote wa chato dawa inachemka jikoni. Kama umeumia sana kunywa sumu..kwishhhha!
 
Yani mtu kafa tarehe 7 tena ndani ya Ikulu ya Dar wao wakakimbiza Makumbusho kwenda kufungia pump. Shubamitt! Msigwa naye kaonewa huruma tuu!
Ulitaka Msigwa afanyeje? Ilihali anapewa taarifa kutangaza.
 
Huyu daktari nina wasiwasi nae sana, kama nakosea Mungu anisamehe. Kwanza najiuliza alikuwa nani kabla hajawa daktari wa Rais?
Alikuwa Dr Bugando, akahamia Chato kumhudumia Rais ndipo akapanda kuwa Katibu Mkuu Afya kipindi Corona imeitandika nchi kwa mara ya kwanza akimtoa Mama aliyekuwepo na naibu Dr Ndugulile wakaondolewa, alibaki na Ummy
yeye alisema Corona ni mafua makali yataondoka kwa nyungu na ndiye aliyeratibu na kudai hata papai lina Corona
Maana yake angekuwa mkweli na kukemea km wenzake Rais wetu angevaa barakoa na kujikinga, huenda mzigo wote walimuacha peke yake ili athibitishe mpendwa hatunaye tena kwa ugonjwa
 
Lakini uzoefu unapatikana wapi ndugu zangu? si ni lazima mtu upate kazi ndipo uzoefu uje sasa kama hawamtaki mwenye uzoefu wanafikiri uzoefu unazaliwa nao?
Kuna sekta zingine au mashirika mengine kuyaongoza hakutakiwi ujaribu mzee
Yaani kutoka uvccm aende kuongoza TPDC

Ova
 
Watu wa clearing wanalia sana

Ova
 
Tuna kazi kubwa ya kuiombea nchi yet isje ikaingia kwenye mikono ya wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…