Na mtazamo wako uko sahihi kabisa.ni mambo ya kipumbavu kabisa tunayokazana nayoNajua ni mahitaji ya lazima ya sasa ila naona kama NCHI, tunatumia muda mwingi kuteua, kuapisha na kujadili nyazifa za wanasiasa na watendaji wa serikali. Haya mambo ukiyatafakari sana utagundua hayatuongezei tija kihivyo na yanatupotezea muda na kutuingiza gharama nyingi zisizo na maana sana.
Ila huo ni mtazamo wangu tu.
Hahaha njaa tupu weweHapa nilipo na enjoy nimeshakua Senior naufukuzia u Principal
Haizuiwi kuchunguzwa kama kuna tuhuma zenye uzito.Kapelekwa viwanda na biashara, pole
Kila Rais anapoingia madarakani, anakuwa na ajenda zake za kipaumbele, na ili aweze kuzitekeleza ni lazima awapate watu ambao yeye binafsi anaamini wataenenda naye kikamilifu katika kuzitekeleza.Aise naona mama anafanya kweli
Ova
Sasa kama hakuna wasomi upande huo afanyeje..hawezi okoteza okoteza tu..lazima wawepo wasomi wabobezi.Anaogopa waraka wa kila weekend
Wakati mwingine akili ndo inatakiwa kuongoza kichwa chako hv kuna jamii gani kwa Tanzania kwa sasa ambayo haina wasomi ?Sasa kama hakuna wasomi upande huo afanyeje..hawezi okoteza okoteza tu..lazima wawepo wasomi wabobezi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Walibanwa Sana saizi zimebaki kampuni chache. Ukipita mitaa ya Clock Tower,Samora na Stesheni kumepoa huoni tena raia wakiwa wamevaa shati za light blue mikononi wameshika bahasha za documents wakikimbizana.Watu wa clearing wanalia sana
Ova
Wapo ila sio wabobezi..tukubali tukatae kuna jamii ziko na wasomi wengi kuliko zingine hili huwezi pinga..mfano wahaya na wazaramo..lazima utapata wahaya wengi ni wasomi wabobezi wa ngazi za juu ukilinganisha na wazaramo..si leti ukabila ama udini ila ki uhalisia iko hivyo ukubali ukatae..chamsingi jamii zetu sasa zijikite kujipatia elimu ya kutosha.Wakati mwingine akili ndo inatakiwa kuongoza kichwa chako hv kuna jamii gani kwa Tanzania kwa sasa ambayo haina wasomi ?
Ndugu yangu kwa Dunia ya sasa ni ngumu sana watu wameamka wanapeleka watu shule unaposema wabobevu unamaanisha nini? Nitajie wote waliochaguliwa kuanzia makatibu wakuu,wakurugenzi nitajie mmoja tu ambae utasema ni mbobevu ambapo huwezi kumpata katika jamii nyingine.Wapo ila sio wabobezi..tukubali tukatae kuna jamii ziko na wasomi wengi kuliko zingine hili huwezi pinga..mfano wahaya na wazaramo..lazima utapata wahaya wengi ni wasomi wabobezi wa ngazi za juu ukilinganisha na wazaramo..si leti ukabila ama udini ila ki uhalisia iko hivyo ukubali ukatae..chamsingi jamii zetu sasa zijikite kujipatia elimu ya kutosha.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo mimi niko kwenye lile kundi linalosisitiza Samia asipangiwe, aachwe afanye vile anaona inafaa, lakini kuhusu huu uteuzi usiozingatia kabisa gender balance, honesty, I don't believe huyu ni Samia huyu niliye zungumza hapa!.Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali.
=======
Baadhi ya mabadiliko
- Alphayo Kidata ameteuliwa kuwa kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania, nafasi aliyowahi kuitumikia kabla na uteuzi wake kutenguliwa na Rais Magufuli.
- Erick Hamis ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya usimamizi wa bandari baada ya aliyekuwa mkurugenzi wake, Deusdedith Kakoko kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi
- Gerson Msigwa ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Hassan Abbas ambae amebakia na nafasi yake ya katibu mkuu wizara ya habari. Kabla Msigwa alikuwa mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu
- Dkt. Jabir Kuwe ameteuliwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Eng. Kilaba.
Alikuwa Dr Bugando, akahamia Chato kumhudumia Rais ndipo akapanda kuwa Katibu Mkuu Afya kipindi Corona imeitandika nchi kwa mara ya kwanza akimtoa Mama aliyekuwepo na naibu Dr Ndugulile wakaondolewa, alibaki na UmmyHuyu daktari nina wasiwasi nae sana, kama nakosea Mungu anisamehe. Kwanza najiuliza alikuwa nani kabla hajawa daktari wa Rais?
Mchembe nje. Hafai kabisaOhoooo. Mchembe na Doto James wamepona?
Umeona eeh . . yaani tunapiga mark time balaaKama Taifa tuna safari ndefu sana, katika nchi yenye watu zaidi ya 60 Million,
watu wanarudishwa wale wale, yaani mtu anatolewa chumba hiki anahamishiwa chumba kile!
Hhahahaaaaa . . . yaani we acha tu. Karudishwa kwa kishindo mkuuKwani Matarajio katolewa,basi bomba linarudi Kenya,hii nchi hii
Exemplary correct. Tena hiyo list ina watu wabovu wengi mno.Nasubiria sasa list ifuatayo
1: RCs
2: Mabalozi
3: RAS
4: DCs
5: DAS
6: DEDs
Yaani hapo serikali itakaa safi kabisa.. Watu wenye sifa sifa kama Chalamila, Sabaya & wenye similar worst behaviours, wajiandae tu mapema. Huwezi kuwa na watu wa ajabu ajabu katika utumishi wa umma kama hao.
HahahaaaTulia uongozwe, wewe huna haki ya kupanga nani awe nani kwenye system.
Ukiisoma rasimu ya katiba ya Warioba utapata majibu yote haya. Imesimama kinyamaTutoe mapendekezo, mfumo imara uwe vipi?Tufute nn? Tuboreshe wapi? Wapi tupaache kama palivyo?
Msemaji Mkuu wa Serikali ni mtu mkubwa sana kuliko mnavyofikiria vijana.Kiukweli Bado upande wangu Siamini kama Msemaji wa Ikulu Ofisi MOJA tu Anaweza kuwa Mkubwa kimamlaka na kimaslahi Kumzidi MSEMAJI MKUU WA SELIKALI. ninavyojua Mimi Msemaji wa Ikulu Hawezi kwenda kuongea Issue yoyote inayohusu wizara yoyote au Tukio lolote la Kitaifa Yeye Atasubiri issue ya Ikulu tu.