Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Kunywa Pepsi hapo ulipo mkuu nakuja kulipa
 
Mke wa Prof Mchembe. Magufuli aliwapendelea kweli. Mr and Mrs Mchembe.
Ndio maana Mama yule alimsumbua Ahmed Shabib pale Gairo
kumbe Mzee alikuwa Bugando na Chato, mngemuelekeza basi magonjwa ya moyo hayataki utani na nyungu, bora kina Ndugulile walijitenga mbali.
Leo Mama kaunda Tume chanjo huenda ikaingia kwa wanaoitaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…