blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Ngugu zangu kwanza mimi kama watanzania wengi wazalendo naomba ni ' dikleee' interest. Mimi ni mtu ambaye sina chama, so huwa niko huru kusema au kuusapoti upande wowote ninaohisi kwa siku hiyo una maslahi kwangu.
Rais ana nafasi ya kujenga ambayo haitasahaulika maisha akifanya haya..
1. Nyumba za walimu...
2. Mishahara bora kwa walimu
3. Lugha ya kufundisha na kujifunza Elimu ya msingi chekechea hadi kidato cha nne.
Rais ana nafasi ya kujenga ambayo haitasahaulika maisha akifanya haya..
1. Nyumba za walimu...
2. Mishahara bora kwa walimu
3. Lugha ya kufundisha na kujifunza Elimu ya msingi chekechea hadi kidato cha nne.