Rais Samia Suluhu Hassan ndiye muanzilishi wa program nyingi zaidi Tanzania kuwai kutokea

Rais Samia Suluhu Hassan ndiye muanzilishi wa program nyingi zaidi Tanzania kuwai kutokea

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Naona kila kitu imekuwa ni Samia.
1. Madaktari wa Samia
2. Waalimu wa Samia
3. Mitungi ya gas ya Samia
4. Wanasheria wa Samia
5. Shule za Samia
6. Ongezea na program zingine
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Naona kila kitu imekuwa ni Samia.
1. Madaktari wa Samia
2. Waalimu wa Samia
3. Mitungi ya gas ya Samia
4. Wanasheria wa Samia
5. Shule za Samia
6. Ongezea na program zingine
Weka list ya marais wote na programu zao zote walizoanzisha.
 
Mungu wajaalie majizi ya Ccm moto wa Jahanam Amiin.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Naona kila kitu imekuwa ni Samia.
1. Madaktari wa Samia
2. Waalimu wa Samia
3. Mitungi ya gas ya Samia
4. Wanasheria wa Samia
5. Shule za Samia
6. Ongezea na program zingine
Si kweli wengine walianzisha vitu lakini hawapati kujulikana kwa sababu havikutumia majina yao.
Kama shule za kata zingeanza now zingeitwa shule za samia, na ile crush program ya walimu ingeitwa walimu wa samia.
 
Vyote ulivyotaji vina ashiria uoga wa Rais vyote vinalenga kuji-promote zaidi tunakoelekea kuna jiji moja hapa litaitwa samia/jiji la samia
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Naona kila kitu imekuwa ni Samia.
1. Madaktari wa Samia
2. Waalimu wa Samia
3. Mitungi ya gas ya Samia
4. Wanasheria wa Samia
5. Shule za Samia
6. Ongezea na program zingine

Machawa wa mama
 
Back
Top Bottom