From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Hiyo laki nne unaitoa wapi? Ni jumla ya watumishi wote walioajiriwa kwenye private na public sector ambao wanakatwa PAYE?Hilo kundi dogo unalolisema ndiyo walipa kodi wa uhakika, na ndiyo fedha zao za mafao zinatumika kwenye miradi mingi ya hovyo na isiyo ya hovyo.
Kaa chini upige hesabu zako ndiyo utaelewa. Chukua makusanyo yote ya kodi kwa nchi nzima kwa mwezi, na utoe matumizi. Jibu utakalolipata ndipo shida ilipo.
Haya ya kumpigania yametoka wapi ?!. Ndiyo kujipendekeza kwenyewe huko !!.Mama Samia Mimi ni mfuasi wako mtiifu na naapa kukufuata na kukupigania kwa Hali yoyote, sutakubali nikiona ukitukanwa au kubagazwa.
Leo Kuna Jambo naliona linataka kufanywa Kama ni ajenda ya kitaifa huku uhalisia unakataa.
Swali la kujiuliza mama, je watumishi wa umma wapo wangapi? Ukweli mama watukishi wa umma wapo wachache Sana ni sawa na 0.6% ya Watanzania wote.
Ila kundi la ambao hawana ajira ni kubwa Sana kuliko idadi ya watumishi waliopo, hivyo ni Bora ukaliangalia Hilo kundi kuliko wale ambao hawana kabisa ajira.
Najua kazi ya serikali sio kuajiri kila Mtu, Ila Kama utaweza kuwaongezea Hawa waliopo basi ni Bora ukaacha na badala yake utumie hiyo nyongeza kuajiri wapya.
Ni bora kidogo kinachokwenda kwa wengi kuliko kingi kinachobaki kwa wachache.
Hesabu ndogo:
Watumishi wapo takribani laki 4,
Tuseme kila mtumishi ana wategemezi 10
400,000 × 10 = 4,000,000
Mil 4 ni sawa na 6.6% ya watanzania wote(mil 60), hivyo bado pamoja na kuweka wategemezi Kuna 93% ya Watanzania haiguswi na watumishi wa umma.
Hivyo mama Samia naomba uangalie hii asilimia kubwa ya watanzania ndio uanze nayo kushugulikia matatizo yao.
Asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo wapo 65% ya watanzania wote, hivyo:
Hilo kundi kubwa linahitahi uhakika wa matibabu wanapoumwa.
- Boresha kilimo kwa kupata pembejeo kwa Bei ya chini, wapate soko la nje la kutosha la mazao gao
- Wapate miundombinu rafiki ya kusafirisha mazao gao
- Wapate huduma ya uhakika ya maji na umeme, sehemu nyingi vijijini hakuna kabisa huduma ya Maji Safi na salama
Mama Samia hili kundi kubwa la Watanzania halipo mitandaoni hivyo ni ngumu wao kuona wakilalamilia hayo mitandaoni badala yake kundi dogo kabisa ndio kila siku linalia na kuongezewa mshahara.
Sasa unaonaje kuhudumiwa na daktari hana nauli ya kumrudisha nyumbani kwake na hajui atakula nini akiwa kazini au baada yakurudi nyumbani,wakati huo anawaza ada ya mwanae.Mama Samia Mimi ni mfuasi wako mtiifu na naapa kukufuata na kukupigania kwa Hali yoyote, sutakubali nikiona ukitukanwa au kubagazwa.
Leo Kuna Jambo naliona linataka kufanywa Kama ni ajenda ya kitaifa huku uhalisia unakataa.
Swali la kujiuliza mama, je watumishi wa umma wapo wangapi? Ukweli mama watukishi wa umma wapo wachache Sana ni sawa na 0.6% ya Watanzania wote.
Ila kundi la ambao hawana ajira ni kubwa Sana kuliko idadi ya watumishi waliopo, hivyo ni Bora ukaliangalia Hilo kundi kuliko wale ambao hawana kabisa ajira.
Najua kazi ya serikali sio kuajiri kila Mtu, Ila Kama utaweza kuwaongezea Hawa waliopo basi ni Bora ukaacha na badala yake utumie hiyo nyongeza kuajiri wapya.
Ni bora kidogo kinachokwenda kwa wengi kuliko kingi kinachobaki kwa wachache.
Hesabu ndogo:
Watumishi wapo takribani laki 4,
Tuseme kila mtumishi ana wategemezi 10
400,000 × 10 = 4,000,000
Mil 4 ni sawa na 6.6% ya watanzania wote(mil 60), hivyo bado pamoja na kuweka wategemezi Kuna 93% ya Watanzania haiguswi na watumishi wa umma.
Hivyo mama Samia naomba uangalie hii asilimia kubwa ya watanzania ndio uanze nayo kushugulikia matatizo yao.
Asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo wapo 65% ya watanzania wote, hivyo:
Hilo kundi kubwa linahitahi uhakika wa matibabu wanapoumwa.
- Boresha kilimo kwa kupata pembejeo kwa Bei ya chini, wapate soko la nje la kutosha la mazao gao
- Wapate miundombinu rafiki ya kusafirisha mazao gao
- Wapate huduma ya uhakika ya maji na umeme, sehemu nyingi vijijini hakuna kabisa huduma ya Maji Safi na salama
Mama Samia hili kundi kubwa la Watanzania halipo mitandaoni hivyo ni ngumu wao kuona wakilalamilia hayo mitandaoni badala yake kundi dogo kabisa ndio kila siku linalia na kuongezewa mshahara.
Hiyo ajira unayoiomba ndiyo watumishi wenyewe wa Umma.Mama Samia Mimi ni mfuasi wako mtiifu na naapa kukufuata na kukupigania kwa Hali yoyote, sutakubali nikiona ukitukanwa au kubagazwa.
Leo Kuna Jambo naliona linataka kufanywa Kama ni ajenda ya kitaifa huku uhalisia unakataa.
Swali la kujiuliza mama, je watumishi wa umma wapo wangapi? Ukweli mama watukishi wa umma wapo wachache Sana ni sawa na 0.6% ya Watanzania wote.
Ila kundi la ambao hawana ajira ni kubwa Sana kuliko idadi ya watumishi waliopo, hivyo ni Bora ukaliangalia Hilo kundi kuliko wale ambao hawana kabisa ajira.
Najua kazi ya serikali sio kuajiri kila Mtu, Ila Kama utaweza kuwaongezea Hawa waliopo basi ni Bora ukaacha na badala yake utumie hiyo nyongeza kuajiri wapya.
Ni bora kidogo kinachokwenda kwa wengi kuliko kingi kinachobaki kwa wachache.
Hesabu ndogo:
Watumishi wapo takribani laki 4,
Tuseme kila mtumishi ana wategemezi 10
400,000 × 10 = 4,000,000
Mil 4 ni sawa na 6.6% ya watanzania wote(mil 60), hivyo bado pamoja na kuweka wategemezi Kuna 93% ya Watanzania haiguswi na watumishi wa umma.
Hivyo mama Samia naomba uangalie hii asilimia kubwa ya watanzania ndio uanze nayo kushugulikia matatizo yao.
Asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo wapo 65% ya watanzania wote, hivyo:
Hilo kundi kubwa linahitahi uhakika wa matibabu wanapoumwa.
- Boresha kilimo kwa kupata pembejeo kwa Bei ya chini, wapate soko la nje la kutosha la mazao gao
- Wapate miundombinu rafiki ya kusafirisha mazao gao
- Wapate huduma ya uhakika ya maji na umeme, sehemu nyingi vijijini hakuna kabisa huduma ya Maji Safi na salama
Mama Samia hili kundi kubwa la Watanzania halipo mitandaoni hivyo ni ngumu wao kuona wakilalamilia hayo mitandaoni badala yake kundi dogo kabisa ndio kila siku linalia na kuongezewa mshahara.
Vijana wamekuwa vigeugeu kwa kushindwa kutumia akili za darasani hata zile za asili wanakubali kudanganywa na hata kuyumbishwa kamatiara na wanasihasa.Mataga bana,mbona wakati wa Jiwe hamkuongea haya mlisema mishahara inatosha na vijana wajiajiri na hizo hela ajenge maflyover na barabara kila sehemu.
Acha hizo!!! Yaani wewe huna ajira kwa hiyo wenye ajira wanyanyaswe tu kila siku. Na wewe ukiajiriwa hutaongezwa mshahara na maisha yanazidi kupanda utaona joto ya jiwe!!!Mama Samia Mimi ni mfuasi wako mtiifu na naapa kukufuata na kukupigania kwa Hali yoyote, sutakubali nikiona ukitukanwa au kubagazwa.
Leo Kuna Jambo naliona linataka kufanywa Kama ni ajenda ya kitaifa huku uhalisia unakataa.
Swali la kujiuliza mama, je watumishi wa umma wapo wangapi? Ukweli mama watukishi wa umma wapo wachache Sana ni sawa na 0.6% ya Watanzania wote.
Ila kundi la ambao hawana ajira ni kubwa Sana kuliko idadi ya watumishi waliopo, hivyo ni Bora ukaliangalia Hilo kundi kuliko wale ambao hawana kabisa ajira.
Najua kazi ya serikali sio kuajiri kila Mtu, Ila Kama utaweza kuwaongezea Hawa waliopo basi ni Bora ukaacha na badala yake utumie hiyo nyongeza kuajiri wapya.
Ni bora kidogo kinachokwenda kwa wengi kuliko kingi kinachobaki kwa wachache.
Hesabu ndogo:
Watumishi wapo takribani laki 4,
Tuseme kila mtumishi ana wategemezi 10
400,000 × 10 = 4,000,000
Mil 4 ni sawa na 6.6% ya watanzania wote(mil 60), hivyo bado pamoja na kuweka wategemezi Kuna 93% ya Watanzania haiguswi na watumishi wa umma.
Hivyo mama Samia naomba uangalie hii asilimia kubwa ya watanzania ndio uanze nayo kushugulikia matatizo yao.
Asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo wapo 65% ya watanzania wote, hivyo:
Hilo kundi kubwa linahitahi uhakika wa matibabu wanapoumwa.
- Boresha kilimo kwa kupata pembejeo kwa Bei ya chini, wapate soko la nje la kutosha la mazao gao
- Wapate miundombinu rafiki ya kusafirisha mazao gao
- Wapate huduma ya uhakika ya maji na umeme, sehemu nyingi vijijini hakuna kabisa huduma ya Maji Safi na salama
Mama Samia hili kundi kubwa la Watanzania halipo mitandaoni hivyo ni ngumu wao kuona wakilalamilia hayo mitandaoni badala yake kundi dogo kabisa ndio kila siku linalia na kuongezewa mshahara.
Kwanini usitoke ukajiajiri ili mambo yaweze kuwa mepesi zaidi ukaachia walioko mtaani nao waingie kusaka mitaji?Acha hizo!!! Yaani wewe huna ajira kwa hiyo wenye ajira wanyanyaswe tu kila siku. Na wewe ukiajiriwa hutaongezwa mshahara na maisha yanazidi kupanda utaona joto ya jiwe!!!
Shida ilikuwa nayo ukitoka huku mtaani Napo ubambikiwe makodi natozo zakukufilisi kabisa.Kwanini usitoke ukajiajiri ili mambo yaweze kuwa mepesi zaidi ukaachia walioko mtaani nao waingie kusaka mitaji?
Sasa imagine tusio na mitaji kabisa hebu imagine hali itakuwaje?Shida ilikuwa nayo ukitoka huku mtaani Napo ubambikiwe makodi natozo zakukufilisi kabisa.
Waingie kwa fani zao siyo kwa mtu kacha kazi. Mbona serikali inatangaza sana kazi!!!!! Apply tu kupitia utumishi portal. Nilipo hapa wafanyakazi wageni wengi tu wanakuja kwa sifa zao. Kazi zipo na serikali inaajir tu. Siyo kwa mimi kuacha kazi.Kwanini usitoke ukajiajiri ili mambo yaweze kuwa mepesi zaidi ukaachia walioko mtaani nao waingie kusaka mitaji?
Yani pengine huridhishwi na mshahara yani si unaweza toka ukaja pambania kombe mtaani braza?Waingie kwa fani zao siyo kwa mtu kacha kazi. Mbona serikali inatangaza sana kazi!!!!! Apply tu kupitia utumishi portal. Nilipo hapa wafanyakazi wageni wengi tu wanakuja kwa sifa zao. Kazi zipo na serikali inaajir tu. Siyo kwa mimi kuacha kazi.
Hatuwezi wote tukawa wafanyabiashara. Division of labour- huyu anafanya hiki na huyu anafanya kile!!!!Yani pengine huridhishwi na mshahara yani si unaweza toka ukaja pambania kombe mtaani braza?