Rais Samia Suluhu ni MwanaCCM anayetenda kazi chini ya miiko ya CCM

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nawashangaa sana wapinzani wenzangu na wakati mwingine huwa nawashangaa WanaCCM ambao wanatarajia matokeo tofauti na walivyotarajia.

Kwa hakika mabadiliko ndani ya chama kimoja yanaweza kutokea ila si kwa kiwango kikubwa.

Rais Samia Suluhu ni MwanaCCM anayetenda kazi chini ya miiko ya CCM kama alivyokuwa Magufuli na wengine.

Tutamlaumu ila lazima tutambue kuwa hawezi kutenda nje ya miiko ya CCM.

Kwa sehemu yake kajitahidi.
Hongera Rais Samia Suluhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…